Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Hongereni sana
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2015 Kwa cdm ya Lowassa ilikuwa fundisho tosha. Kwenye hili la Membe kwenda ACT, muda utakuwa mwalimu mzuri.
Narudia tena, tofauti ya Lowassa na Membe, mmoja anapaka nywele picko, na mwingine kaachia mvi zionekane. Membe hakufukuzwa ccm, bali aligoma kuomba msamaha, kisha akazira na kurudisha kadi ya ccm. Katika mazingira hayo akaiacha ccm bila uchaguzi zaidi ya wao kuhitimisha kwa kutangaza kumfukuza.
wao unafikiri hawaogopi kuja kutetea uongo na propaganda humu kwa wataalamu?ACT Wazalendo,
Hivi CCM yangu nao hawana Verified Account yao hapa Jamvini JamiiForums? Kama hawana 'wananiangusha' mno na ninaomba wawe nayo pia.
CCM tunajielewa wewe .Wapiga kura wetu hawako mitandaoni wako mitaani na vijijini.Ndio maana hata midahalo mnayotaka ya wagombea uraisi huwa hatuitaki sababu wapiga kura wetu sisi wengi hawana TV.HATUWEZI UZA SURA kwa wenye TV ambao hawafiki hata asilmia tano ya wapiga kura !!!Ujanja wote wa chama chako cha CCM ni kule mtaani tu kwa Watanzania "Wanyonge". Kwenye mitandao mfano humu Jamii Forums, wanaogopa bila shaka kutokana na madudu yao wanayotufanyia Watanzania.
Let them try what they can jaman, Sasa mnataka wamsimamishe Nani? Kuna wakati kufanya usajiri ni better
Tumetangaziwa Mara nne kwamba Membe amekufuzwa ndani ya CCM. Hiyo kukataa kuomba msamaha kwa kusimamia anachokiamini ndiyo kumemfanya afukuzwe uanachana.
2015 kwa CDM ya Lowassa fundisho ilikuwa nini?2015 Kwa cdm ya Lowassa ilikuwa fundisho tosha. Kwenye hili la Membe kwenda ACT, muda utakuwa mwalimu mzuri.
Umetangaziwa na nani?
Kwa Iran ni kama vile Supreme Leader 'AYATTOLAH 'vs Rais wa nchi.Hiki chama chenu hata hakieleweki, hivi kati ya Mwenyekiti wa chama na Kiongozi wa chama ni nani mwenye nguvu ndani ya chama! Nani anampagia mwenzie majukumu? Na Membe atakuwa na cheo gn? Dah kizunguzungu tu
2015 kwa CDM ya Lowassa fundisho ilikuwa nini?
Usirukeruke jibu swali.Mkuu hili ni swali, au umeweka alama ya kuuliza mwisho kwa bahati mbaya?
Hio kufukuzwa ni gia/story/sababu tu zimetafutwa za nitoke kwa style gani huku Ccm ili nijitofautishe na Lowassa?Jibu likawa hilo style ya kufukuzwa.Kumfananisha Membe na Lowasa/Sumaye/Nyalandu si sawa, Membe mfananishe na Maalim Seif maana wamefukuzwa uanachama ndani ya CCM kutokana na misimamo yao.