Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100%Kama kuna Mtu ambaye nina uhakika kuwa ' ameshauriwa ' vibaya na Kaingia cha ' Kike ' ni huyu Membe kwani ni ' Mwepesi ' hadi anatia Huruma.
Yaani achana hata na Lowassa huko mbali
Mimi kila nikimuangalia A. Kinana kwa jinsi alikua well connected na ushawish wake ndani ya chama na amerudisha mpira golini
Nabaki nawahurumia tu "wafuasi" wa ACT kwasababu Zitto na Membe sio watakaopoteza hawa wawili wanajua wanachokifanya na wanajua kabisa hawana ubavu wa kushindana na Chuma.
Wanavuta muda tu watarudi " To kiss pope's ring"
CCM hatuhitaji hayoUjanja wote wa chama chako cha CCM ni kule mtaani tu kwa Watanzania "Wanyonge". Kwenye mitandao mfano humu Jamii Forums, wanaogopa bila shaka kutokana na madudu yao wanayotufanyia Watanzania.
Zaidi tu wanawakilishwa na wadau wao kama wewe mwenyewe, jingalao, Bia yetu, mr chopa, kuku mweupe, Kawe Alumni, Etwege, Magonjwa Mtambuka, na mwanachama mwenzenu mpya kabisa Pascal Mayalla.
Mkuu Mimi Sina wivu Ila amesema mwenzenu hapo bwana membe au hujamsikia kwenye hotuba yake.Acha wivu.
Naona umeona Aibu tu Kuwachana ' Live ' Mkuu ni kwamba ACT-Wazalendo hawatopata hata Mbunge Mmoja na Membe ' ataangushwa ' vibaya.
Tatizo huyu Bwana Membe anajiona Nyangumi kuuuuumbe yeye ni Dagaaa tu, naaamini wafuasi wake hawamwambii ukweli ili waendelee kupiga mpunga wake. Ndugu yangu Membe Umaarufu wako unaishia hapo Chalinze na huko kwenu Lindi vinginevyo labda unachofanya ni Maigizo tu.
Eti hakutakuwa na kutumbuliwaPole sana mzee Membe, siasa ngumu, hadi sasa hujanivutia tangu umeanza kuongea, hujatoa hoja badala yake unalalamika ya akina Sanane na Azori, tushawishi tukupe kura mzee.Bora tumsikilize Seif, halafu anaongelea magogoni, wakati tuko chamwino
ccm ilo kila mahali itakuwa hapa jf??????ACT Wazalendo,
Hivi CCM yangu nao hawana Verified Account yao hapa Jamvini JamiiForums? Kama hawana 'wananiangusha' mno na ninaomba wawe nayo pia.
Kumfananisha Membe na Maalim Seif ni first class mistake. Membe alifukuzwa CCM kutokana na tamaa yake ya kutaka kuwa Rais pamoja na chama kuwa na tamaduni zao za siku nyingi (huu sio msimamo kama wa Maalim)
Sijui Kura zake Kama atamzidi yule mama aliyegombea uchaguzi uliopita
Lowassa alijitoa CCM kwenda kujaribu bahati ya urais. Kilichompeleka upinzani ni TAMAAM YA URAIS.
Membe AMEFUKUZWA CCM sababu ya kudai haki za kikatiba. Kinachompeleka upinzani SIO URAIS bali ni kutafuta HAKI.
Hahahaaaaa, kipindi hiki wapo Vijana wajanja ndani ya Chama wanaanzisha mpaka miradi mikuuuuubwaa kwa pesa za watu dizaini hii.Acha tu Mkuu ' Wajanja ' wampige Pesa zake zile za Gaddafi na Yule Balozi ( aliyekufa Kiutatanishi ) Ubalozini DSM ila ni ' Mwepesi ' kama Tissue.