Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Msaidizi katekwa huku wapo pamoja au ilikuaje Hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana maneno mengi,utendaji SifuriiHayawi hayawi sasa yamekuwa. Niguse ninuke. Baba umeguswa,nuka sasa.
Safari ya membe inawachanganya ccm wanadhani alienda kukusanya details na mikakati kutoka kwa FBI na MOSSADMembe ana mikwara kama Polepole
Mtu kakamatwa na askari halafu yeye anatuambia wamemteka, wamteke kwa lipi hasa la maana alilo nalo?
Umejuaje wamekamatwa na askariMembe ana mikwara kama Polepole
Mtu kakamatwa na askari halafu yeye anatuambia wamemteka, wamteke kwa lipi hasa la maana alilo nalo?
Membe ana mikwara kama Polepole
Mtu kakamatwa na askari halafu yeye anatuambia wamemteka, wamteke kwa lipi hasa la maana alilo nalo?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ngoja tusubirie tuione harufu yake sasaHayawi hayawi sasa yamekuwa. Niguse ninuke. Baba umeguswa,nuka sasa.
Sasa wamemkamata kwa lipi alilo nalo? Acha kujitoa ufahamu nduguMembe ana mikwara kama Polepole
Mtu kakamatwa na askari halafu yeye anatuambia wamemteka, wamteke kwa lipi hasa la maana alilo nalo?
Mmezomewa naskia na madaraja yenuHana uwezo wa kunuka! Membe ni kama Lissu tu!
Alituambia ana watu 6 wazito watamfuata, matokeo yake jana kalia hawana hela mfukoni.
Askari wamemkamata kwa lipi?Membe ana mikwara kama Polepole
Mtu kakamatwa na askari halafu yeye anatuambia wamemteka, wamteke kwa lipi hasa la maana alilo nalo?
Membe ana mikwara kama Polepole
Mtu kakamatwa na askari halafu yeye anatuambia wamemteka, wamteke kwa lipi hasa la maana alilo nalo?
Taharuki mnajiletea wenyewe, nyie endeleeni na shughuli zenuKwa nini amekamatwa na Polisi.
Taarifa ya kukamatwa na sababu zitolewe na Polisi ili kutoleta TAHARUKI.