Uchaguzi 2020 Bernard Membe hana kabisa mvuto!

Uchaguzi 2020 Bernard Membe hana kabisa mvuto!

Huyu jamaa, hana kabisa mvuto akiwa jukwaani.

Siasa kwake naona si jambo alilonalo kiasili.

Anajitahidi sana kuongea na kudondosha vibwagizo akiwa jukwaani, lakini wapi! Hamna kitu kabisa.

Maneno hayamtoki mdomoni kiulaini. Linganisha Lissu akiwa jukwaani na huyo Membe, ni usiku na mchana.

Sauti haina mvuto. Hana msamiati wa kutosha wa kuchotea vibwagizo kuendana na hadhira iliyo mbele yake.

Anachokiweza ni vijembe vya kimafumbo huko Twitter.


Huyu mtu ni mwanadiplomasia, hataki Siasa za mihemuko au uadui. Pamoja na kwamba amehama CCM, bado anaonyesha kuwa anakiheshimu chama chake cha zamani. Ikitokea pengine kura zake zisiweze kutosha 2020, kuna uwezekano by 2025 atakuwa amerudi tena kundini kwake. Niliwahi kusema hivi hivi kwa Sumaye na Lowassa, na ikatokea
Watu wamekaa kwenye system ya nchi tangu wakiwa watoto sasa hivi ni wazee wana mvi, wanaelewa mengi, siyo kama sisi ambao wengi wetu tunaona siasa tu. Approach ya kisisaa ya huyu bwana ni ya kistaarabu sana, nimeipenda muno. Sijawahi kuona mwanasiasa jukwaani, akiwa katika hali ya ustaarabu kama anavyofanya Membe
 
Hatuchagui MC, tunachagua kiongozi

Sasa utamlinganisha Jiwe na Membe kwenye kuongea?

Jogoo hoyee!
Nitapiga mashangazi!
Serikali haina shamba!
Unataka kupanuliwa wapi?
Makamu wa raisi mweupe
Sisomeshi wazazi!
Nikupe mshahara, magari kisha umtangaze mpinzani kushinda?
Intapentipenteprenuwaship

Kama anayeongea hayo kaweza kuwa rais, ndo atashindwa Membe, mtu mwenye kutema point tupu kila akiongea?

Labda wewe unapenda mashamsham na siyo substance, kama unapenda substance basi Membe ni class ya juu sana kuliko Jiwe!
Hata kwenye kuongoza ni zero,hamna kitu hapo.Mtu angekuwa smart alitakiwa aplay Smart na angefanikiwa kubaki CCM wangestukia kachukua form na Magufuli. Hapo ndo ningemuona Genius. Yeye akawa anaplay kiboya boya mpaka kurecordiwa. He is zero brain hawezi kuanalyse mambo.
 
Huyu mtu ni mwanadiplomasia, hataki Siasa za mihemuko au uadui. Pamoja na kwamba amehama CCM, bado anaonyesha kuwa anakiheshimu chama chake cha zamani. Ikitokea pengine kura zake zisiweze kutosha 2020, kuna uwezekano by 2025 atakuwa amerudi tena kundini kwake. Niliwahi kusema hivi hivi kwa Sumaye na Lowassa, na ikatokea
Watu wamekaa kwenye system ya nchi tangu wakiwa watoto sasa hivi ni wazee wana mvi, wanaelewa mengi, siyo kama sisi ambao wengi wetu tunaona siasa tu. Approach ya kisisaa ya huyu bwana ni ya kistaarabu sana, nimeipenda muno. Sijawahi kuona mwanasiasa jukwaani, akiwa katika hali ya ustaarabu kama anavyofanya Membe
Huyu lazima atarudi CCM na by 2025 atachukua form kupitia CCM ili wapembuliwe kwenye mchakato.
 
Hata kwenye kuongoza ni zero,hamna kitu hapo.Mtu angekuwa smart alitakiwa aplay Smart na angefanikiwa kubaki CCM wangestukia kachukua form na Magufuli. Hapo ndo ningemuona Genius. Yeye akawa anaplay kiboya boya mpaka kurecordiwa. He is zero brain hawezi kuanalyse mambo.

Wewe unadhani akina Lowasa na wanasiasa wengine walikuwa hawarekodiwi toka tawala za zamani?

Sema watawala waliopita walikuwa na haya, walikuwa ni viongozi wanaojua maana ya uongozi, hawakuachia mambo hayo hadharani.

Kwanza ukisikilza clip ya Membe hakuna kauli yoyote mle ya kuonyesha ana nia ya kugombea, au kumtukana Magufuli, hakuna chochote .Alichezewa faulo tu.

Mtu anaongea na katibu wa kijiji wa Rondo mambo ya kawaida tu juu ya hali ya kisiasa nchini kisha wanamgeuzia kibao!

Ukiona wamedukua vitu rahisi rahisi kama hivyo, basi ujue walimtafuta kwenye ishu kubwa wakamkosa, kwa hiyo wakajitungia tuhuma, washitaki wakawa ni wenyewe, walalamikaji ni wenyewe na waamuzi wakawa ni wenyewe!. Hata kanuni za CCM za kuwajibisha wanachama wakazivunja!. Sasa kama wamekuamulia ulitaka afanyeje?

Unakumbuka Membe alikuwa kimyaa kwa miaka mitatu wakamchokonoa chokonoa kuwa hakisaidii Chama, eti haonekani kwenye shughuli za Chama, Mpaka Bashiru Ally akamuita ofisini kwake "wabadirishane mawazo"?

Sikiliza wewe, Wimbi la watu kuonyesha kumtaka Membe achukue fomu kwenye mitandao ya kijamii liliwatisha wakaamua kuja na plan ya kumuengua mapema kwa njia zozote zile, halali na haramu!

Badala ya kumtetea Membe kwa kufanyiwa jinai ya kudukuliwa wewe unamtukana. Absurd!
 
Huyu lazima atarudi CCM na by 2025 atachukua form kupitia CCM ili wapembuliwe kwenye mchakato.
Unaweza ukawa uko sahihi. Mimi huyu bwana namkubali sana ila nilikuwa sikubaliana naye kwenye hoja ya kum-intercept mwenzake kwenye kipindi chake cha pili. Akifanya hivyo 2025 lazima anachukua, tena kirahisi sana!
 
Huyu jamaa, hana kabisa mvuto akiwa jukwaani.

Siasa kwake naona si jambo alilonalo kiasili.

Anajitahidi sana kuongea na kudondosha vibwagizo akiwa jukwaani, lakini wapi! Hamna kitu kabisa.

Maneno hayamtoki mdomoni kiulaini. Linganisha Lissu akiwa jukwaani na huyo Membe, ni usiku na mchana.

Sauti haina mvuto. Hana msamiati wa kutosha wa kuchotea vibwagizo kuendana na hadhira iliyo mbele yake.

Anachokiweza ni vijembe vya kimafumbo huko Twitter.


Itakuchukua muda sana kuelewa siasa za Tanzania.
 
Back
Top Bottom