Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo wewe umelijuaje?!Duh...!, sasa itakuwaje?, maana huyu ndiye mgombea wa pamoja!. TL ni pace maker tuu!.
P
Kumbuka urais haupatikani kwa kupiga kelele pia, kama ingekuwa hivyo mtikila angeshakuwa rais, Mungu amrehemu.Lissu anawatesa sana wa kijani, now mpo kama mmenyeshewa mvua, kila mnapogusa hapashikiki. Mrudisheni Nape, naye kwa sababu kazibuka ataweza kushindana na Lissu. Polepole yeye analialia tu kwenye media.
Lowassa ndio hana mpinzani kwa Charisma. Yeye anapanda jukwaani anasema maneno matatu tu Elimu, Elimu, Elimu, ila shughuli yake si mchezo. Charisma yake hadi ilisababisha CCM washindwe kuiba kura Zanzibar, nguvu yote waliweka bara kupambana na mzee wa elimuKikwete anawazidi wote Lissu, Magufuli,Membe..
Charisma na mvuto Tz since independence ni Nyerere na Kikwete
Waliosalia wote wanababia babia
Kweli kabisa!Kikwete anawazidi wote Lissu, Magufuli,Membe..
Charisma na mvuto Tz since independence ni Nyerere na Kikwete
Waliosalia wote wanababia babia
Hujamwelewa mweka madakumbuka urais haupatikani kwa kupiga kelele pia, kama ingekuwa hivyo mtikila angeshakuwa rais, Mungu amrehemu.
nimeshawahi kumsikia mara kadhaa na nathubutu kusema wanafanana sana na hao uliotaja tofauti yeye anasauti nyepesi ya kike, sina maana ya ubaguzi wa jinsia lakini.Sidhani kama fani unahusiana na chochote hapo!
Siyo kila mwanasheria ana uwezo wa kuzungumza kama Tundu Lissu!
Mfano mzuri ni Shangazi/ Fatma Karume.
Ushawahi kumsikia akiongea huyo shangazi?
Unaweza ukamlinganisha Shangazi na Zitto? Au Shangazi na Mbowe?
Lowassa ndio hana mpinzani kwa Charisma. Yeye anapanda jukwaani anasema maneno matatu tu Elimu, Elimu, Elimu, ila shughuli yake si mchezo. Charisma yake hadi ilisababisha CCM washindwe kuiba kura Zanzibar, nguvu yote waliweka bara kupambana na mzee wa elimu
Fatma Karume ni mzungumzaji mzuri?nimeshawahi kumsikia mara kadhaa na nathubutu kusema wanafanana sana na hao uliotaja tofauti yeye anasauti nyepesi ya kike, sina maana ya ubaguzi wa jinsia lakini.
Kweli kabisa!
Communication skills za Kikwete, hususan kwa lugha ya Kiswahili, ziko underrated.
Binafsi napenda sana kumsikiliza. Kiswahili anakimudu vizuri sana.
Sijui kama watu wengi wameliona hilo...
Akienguliwa na nani? Mbona mnachomeka ndoto zenu za alinacha?Lissu akienguliwa, huyo ndio mgombea.
Atabebwa na support ya chama.
Mbona Magufuli amepauka sana, lakini alishinda au kushindishwa?
Oh yeah, babake Le Mutuz yuko vizuri sana.Mzee Malecela pia ana sauti ya mamlaka.
Hata English Malecela ndo level za Mkapa..
Huyu jamaa, ‘jasusi mbobezi’, hana kabisa mvuto akiwa jukwaani.
Siasa kwake naona si jambo alilonalo kiasili.
Anajitahidi sana kuongea na kudondosha vibwagizo akiwa jukwaani, lakini wapi! Hamna kitu kabisa.
Maneno hayamtoki mdomoni kiulaini. Linganisha Lissu akiwa jukwaani na huyo Membe, ni usiku na mchana.
Sauti haina mvuto. Hana msamiati wa kutosha wa kuchotea vibwagizo kuendana na hadhira iliyo mbele yake.
Anachokiweza ni vijembe vya kimafumbo huko Twitter.
Kabisa. Tofauti na Lissu hatafuti kushangiliwa Bali anajikuta anatafuta njia ya kuwanyamazisha waendelee kumsikiliza na kumuelewa atakavyo.Akiwa anaongea unamwona kabisa anatafuta maneno ya kuongea ambayo yatapokelewa kwa shangwe na hadhira yake, lakini wapi!
Ndio mtazamo wangu huo.Fatma Karume ni mzungumzaji mzuri?
Aisee!!!!!!!!!!!
Huyu askari alikuwa anampigia saluti huyo rais, lakini ona sasa yanayotendeka. Kweli ukiwa madarakani heshimu wananchi wako sana.Akienguliwa na nani? Mbona mnachomeka ndoto zenu za alinacha?
Muengue Lissu nchi igeuke DRC na huyo anaye yachochea hayo yamkute ya yule wa Ivory Coast.
View attachment 1534223
Huyu jamaa, ‘jasusi mbobezi’, hana kabisa mvuto akiwa jukwaani.
Siasa kwake naona si jambo alilonalo kiasili.
Anajitahidi sana kuongea na kudondosha vibwagizo akiwa jukwaani, lakini wapi! Hamna kitu kabisa.
Maneno hayamtoki mdomoni kiulaini. Linganisha Lissu akiwa jukwaani na huyo Membe, ni usiku na mchana.
Sauti haina mvuto. Hana msamiati wa kutosha wa kuchotea vibwagizo kuendana na hadhira iliyo mbele yake.
Anachokiweza ni vijembe vya kimafumbo huko Twitter.
Before ilikuwa twende na Membe kachero mbobezi leo hana mvuto.
Hii dunia iache tu hata huyu wanamshabikia kwa kale kamsemo tu kuwa.....