Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hahah mataga bana, eti leo hii mmekuwa mashabiki wa Membe. Yani leo joka la mdimu limekua deal kwa CCM hadi lina mafun wa kuigiza 🤣🤣Lisu meseji Hiyo umeipata ? Inakuhusu wewe na Chadema wenzio
Lisu anaenda kuzolewa na kimbunga!
ana maneno ya kipuuzi kama yule mzilankende?Membe anasiasa safi sana hana matusi na maneno ya kipuuzi kama yule mkimbizi wa ulaya
Kwa hiyo , CCM na ACT wanashindana na Lissu?Lisu anaenda kuzolewa na kimbunga!
Mbona hata sasa hivi wapo tu hapo Makao Makuu ya Saccos? Hukuona juzi walivyokuwa wanaraluana kwenye group lao?! Na bado kadri muda utavyokuwa unaendelea ndiyo tutasikia mengi sana! Keep watching!!Sioni kwanini Membe amuunge mkono Lisu. Hawa watu wa ccm ndio huwa wanavuruga upinzani. Nimefurahi sana yeye kugoma kumuunga mkono Lisu, maana huko mbele ya safari ndio huwa wanaingia kwenye vikao vya siri vya cdm na kujifanya ni washirika wa upinzani, kumbe ni mashushu uchwara wa ccm. Mtu kaitumikia ccm zaidi ya miaka 40 leo mnataka awe sehemu ya upinzani! Hata huko Zanzibar anayeungwa mkono na cdm ni Maalim Seif, kwakuwa ni mpinzani wa kweli na sio chama cha ACT.
Mbona hata sasa hivi wapo tu hapo Makao Makuu ya Saccos? Hukuona juzi walivyokuwa wanaraluana kwenye group lao?! Na bado kadri muda utavyokuwa unaendelea ndiyo tutasikia mengi sana! Keep watching!!
lissu na chama chake wanajua wanachokifanya , ACT wanajua wanachokifanya so membe hawezi kuwa juu ya tahasisi hata kama mwamuita nguli kwenye mambo flani , japo nayo ni fani tu kama zilivyo fani nyingine mfano upadri, jeshi, dr, walimu na kazi, namanisha hakuna jipya chini ya jua ni yaleyale katika utumishi tofauti na majukum tofauti, so ndo maana taifa lazima lijenge misingi ya kuheshimiana kwa maana wote twategemeana, asema bwana na imekuaLisu meseji Hiyo umeipata ? Inakuhusu wewe na Chadema wenzio
Anajifanya mtaalam wa kuleta moshi !!HATOKI MTU HAPA! Wale wote wanaodhani kuwa Nitajiondoa katika kinyang'anyiro cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, wanaota ndoto za Mchana. Kimbunga kitakachoanza tarehe 15 September 2020 October ni Kimbunga kumba-kumba! Watanzania kaeni chonjo!
Safi sana kama unaona ni fake lakini maboss wako wa saccos wanajua siyo fake. Hizo sms wanazo kwenye group lao na wanajua wameingiliwa!Wapo wengi wala hilo halina ubishi, ila sio hao wa wazi kama Membe. Ule utoto wa majibizano ya kipuuzi kwenye group fake ndio unategemea mtamuuzia mtu? Kweli mna mbinu za kizee ile mbaya.
HahahaaaHahaha kimbunga gani alichonacho Membe
Dharau mbaya hiyo. Yaani akili yake inamtosha kuvuka barabara tu.!Unamzidi kwa kucoment jf. Mataga una akili za kuvukia barabara wewe.
Mtu anaesema yeye anamzidi nguli wa sheria Tundu Lisu. Mtu aliethibika bila shaka kuwa ni mwamba kwenye hiyo fani unaona ana akili za kumtosha?Dharau mbaya hiyo.Yaani akili yake inamtosha kuvuka barabara tu.!