lolypop
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,430
- 1,688
Ni huyo nyapara mwenye fimboKwan hao CCM sio wananchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huyo nyapara mwenye fimboKwan hao CCM sio wananchi?
Demokrasi ni utawala mabao wananchi ndio wanaochagua viongozi wao; nchi zisizo na demokrasi ni zile ambazo wananchi hawana uhuru wa kuchagua viongozi wao- ama kuna uchaguzi ambao serikali inahakikisha kuwa inajua umepigia nani kura na itakushugulikia iwapo hutapiga kura hiyo kwa mtalwa (kama ilivyokuwa Iraq wakati wa Saddam) au kuna kura halisi ya uongozi wa kati lakini uongozi wa juu hauchaguliwi (kama ilivyo Iran) au hakuna uchaguzi kabisa (kama ilivyo Korea ya kusini); je ni demokrasi gani inayokosekana Tanzania?Tukiendelea kumvumilia aliyepo hali ya demokrasia yetu itakuwaje?, Ataiua kabisa, maana huyu anataka udikteta nchini
Bora tumchallenge tuwaache wananchi waamue kwani shida ni nini?
The way things are going on in this part of the world, the horror of the dictatorial regime, we the people of Tanzania have no choice except to vote out president Magufuli in the forthcoming elections in october this year.
President Magufuli has squandered a good opportunity to build a nation rooted in the values of democracy, human rights and adherence to rule of law unlike his predecessors who themselves were not angels but played constructive roles in building up our democracy to respectable levels in Africa and the world at large.
In this regime, there has been gross human rights violations, people incarcerated with sham dubious charges and some charged to pay exorbitant sum of money to buy their freedoms on what is vividly clear, an extortion mafia like schemes.
Even people who dissapeared, whose wherebouts are up to this moment unknown, there isn't any enthusiasim from the regime to investigate their dissappearance. This leaves behind a lot of unanswered questions.
Meanwhile the economy is only growing on papers while in the streets life is extremely tough. The government is not employing in large scales compared to the former government. A lot of young people are in the streets, hopeless, stranded seeking jobs to a no avail. Life is continously becoming unbearable.
At the same time the external debt is skyrocketing, a lot of money is being borrowed to service these mega projects which some are typically white elephant. Some Projects such as building airport in Chato, a birth place of president Magufuli, an airport which by all standards is not a priority are of little value economically and consumes a lot of money.
Also the public service is not in good shape as this government hasn't paid attention whatsoever to the public servant. Since president Magufuli came into office, Public servants have their legally entitled benefits trumped on by this government. While in the former government there was an annual salary increments and normal year to year promotions. This is hurting workers today and it will hurt them when they retire.
That is when we rightly asses that this election is a do or die election. In this election there is nobody who is well prepared, who can defeat president Magufuli and who can clean up tje mess created by this regime than the renowned diplomat and a former spy Bernard Cammilius Membe.
Membe has served this nation with high Integrity, he is a proponent of rule of law and respect for the constitution and abbhors politics of "terror".
The first thing Membe has to do when he is sworn into office is to bring a national reconciliation process, healing wounds caused by president Magufuli's "hurt all that oppose me" politics.
Membe shall work on the issue of the economy, solve the unemployment problem, create a functioning economy that will put our youth to work!
Also Bernard Membe will bring back the new constitution process on track as we have witnessed in these five years how bad our 1977 constitution is!. With this constitution, it is more like we have put all our eggs in. one basket. There is too much power in the hands of one person, this is absolutely dangerous as if he skrews things he can skrew them to the detriment of the whole nation and he can't be held accountable as this constitution still protects him from being sued.
With Membe at the helm, our diplomacy will once again be a shining example in Africa. And he will be able to impement his vision of economic diplomacy which he instituted when he was a foreign minister in the former government.
So stakes are too high, we certainly can't afford five more years of the massive propaganda propelled regime. We need a man in the office who will do a job rightly, justly and with high level of Integrity.
Membe is a right man for the Job
2020 Membe for president
2020 Twende na Membe
Demokrasi ni utawala mabao wananchi ndio wanaochagua viongozi wao; nchi zisizo na demokrasi ni zile ambazo wananchi hawana uhuru wa kuchagua viongozi wao- ama kuna uchaguzi ambao serikali inahakikisha kuwa inajua umepigia nani kura na itakushugulikia iwapo hutapiga kura hiyo kwa mtalwa (kama ilivyokuwa Iraq wakati wa Saddam) au kuna kura halisi ya uongozi wa kati lakini uongozi wa juu hauchaguliwi (kama ilivyo Iran) au hakuna uchaguzi kabisa (kama ilivyo Korea ya kusini); je ni demokrasi gani inayokosekana Tanzania?
Kugombana na mtawala siyo kukosekana kwa demokrasia, kunaweza kuwa ni kukosekana kwa haki za binadamu, lakini siyo kukosekana kwa demokrasia. Linapokuja swala la haki za binadamu pia uweke bayana kuwa haki hizo hazitumiki kuvunja sheria. Haki zote za binadamu zinataka mambo mawili makubwa yafuatwe: (a) haki hizo zisitumike kuvunja sheria za nchi, na vile vile (c) zisitumike kuathiri haki za binadamu wengine. Yaani huwezi kusema una uhuru wa kwenda na kuishi popote ukaamua kwenda kuishi Ikulu, utakuwa umevunja sheria. Lakini vile vile huwezi kusema una haki ya kufanya lolote, ukaamua kumuua mtu mwingine, utakuwa siyo tu umevunja sheria lakini vile vile utakuwa umeingilia haki ya kuishi ya victim wako; kwa yote hayo utaadhibiwa.
Kumekuwa na nyimbo sana za "kuminya demokrasi" bila kujua maana ya demokrasi ni nini; haina maana unayodhani. Hata kama rais ni mkrorfi, bado ni nchi ya kidemokrasi.
Yote uliyoorodhesha hapo yanaathiri demokrasi lakini zote hizo ni speculations tu, uchaguzi wa mitaa baadhi ya vyama havikushiriki kwa sababu zao wenyewe. Mwaka 1958 TANU ilitaka kukaa kushiriki uchaguzi wa kura tatu Nyerere akawaambia kuwa kutoshiriki ni kukubali kushindwa.Kuzuia vyama vya siasa kufanya siasa kinyume cha katiba na sheria, kutunga sheria za kuwapa baadhi ya watu impunity wasishtakiwe, kufungiafungia magazeti yenye mrengo tofauti wa kisiasa, kukamatakamata na kutia ndani wapinzani wako wa kisiasa mara kwa mara kwa sababu za kisiasa, Kuvuruga chaguzi za serikali za mitaa na kujipa ushindi wa 98%, kila kykicha kuwapelekea wapinzani askari ili wasifanye hata mikutano ya ndani BILA SHAKA MATENDO HAYO siyo Demokrasia.
Demokrasia siyo uchaguzi peke yake, Demokrasia ni suala pana na ni suala mtambuka, Demokrasia ni mchakato siyo tukio moja la uchaguzi.
Hata huo uchaguzi unaousema, bongo siku hizi uchaguzi hauheshimiwi, majuzi hapa kwenye chaguzi za serikali za mitaa kuna mambo ya ajabu kabisa serikali hii imefanya kufrustrate mchakato, ni. mambo ya ajabuajabu!
Mzee, Obama aliwaeleza viongozi wa Afrika, demokrasia siyo uchaguzi pekee, uchaguzi ni sehemu ya mchakato tu!
Yote uliyoorodhesha hapo yanaathiri demokrasi lakini zote hizo ni speculations tu, uchaguzi wa mitaa baadhi ya vyama vhakushiriki kwa sabau zao wenyewe, Mwaka 1958 TANU ilitaka kukaa kushuri uchaguzi wa kura tatu Nyerere akawaambia kuwa kutoshiriki ni kukubali kushindwa.
Mengine yote ni speculations na misrepresentations tu; nitaongea hili la kufungia magazeti. Ni kweli kuwa kufungia magazeti ni kosa, ila siyo kosa la serikali bali ni kosa la sheria inayotumika kuyafungia. Sheria hiyo ina walakini sana, lakini kwa vile ndiyo sheria iliyopitishwa na bunge ambayo inapaswa kuheshimwa. Utaratibu siyo kuikiuka bali na kweka pressure ibadilishwe. Kama spidi limiti kwenye highway ni 30kph, lakini barabara yuenyewe iko porini ambapo hakuna hata wapita njia, huwezi kuendesha 100kph ukidai kuwa spidi limiti ya 30kph ni ya hovyo. Ukishikwa utaadhibiwa tu.
Mkuu Tindo, kupanga ni kuchagua. Vyama vya upinzani siku zote vimenyimwa nafasi ya kuendesha shughuli zao halali za kisiasa kwa mujibu wa sheria hapa nchini. Na kwa kuzingatia uhuru na haki zote zilizoainishwa kikatiba havina nafasi ya kujijenga toka kipindi ilipoingia madarakani awamu hii ya tano.Hata APPT MAENDELEO ni chama cha upinzani, aende huko. Au intelijensia yake ni lazima agombee urais tu? Uza ubongo huo boss maana unakaa nao kwa hasara. Kosa la Lowassa hatuna muda wa kulirudia tena
No wonder somebody invented examination. Examination sets level of understanding. When you think or believe to know, we prove you right or wrong by subjecting you to examination. There you get to know your literacy. What you have written is just a false wish, baseless and proves some sort of ignorance.The way things are going on in this part of the world, the horror of the dictatorial regime, we the people of Tanzania have no choice except to vote out president Magufuli in the forthcoming elections in october this year.
President Magufuli has squandered a good opportunity to build a nation rooted in the values of democracy, human rights and adherence to rule of law unlike his predecessors who themselves were not angels but played constructive roles in building up our democracy to respectable levels in Africa and the world at large.
In this regime, there has been gross human rights violations, people incarcerated with sham dubious charges and some charged to pay exorbitant sum of money to buy their freedoms on what is vividly clear, an extortion mafia like schemes.
Even people who dissapeared, whose wherebouts are up to this moment unknown, there isn't any enthusiasim from the regime to investigate their dissappearance. This leaves behind a lot of unanswered questions.
Meanwhile the economy is only growing on papers while in the streets life is extremely tough. The government is not employing in large scales compared to the former government. A lot of young people are in the streets, hopeless, stranded seeking jobs to a no avail. Life is continously becoming unbearable.
At the same time the external debt is skyrocketing, a lot of money is being borrowed to service these mega projects which some are typically white elephant. Some Projects such as building airport in Chato, a birth place of president Magufuli, an airport which by all standards is not a priority are of little value economically and consumes a lot of money.
Also the public service is not in good shape as this government hasn't paid attention whatsoever to the public servant. Since president Magufuli came into office, Public servants have their legally entitled benefits trumped on by this government. While in the former government there was an annual salary increments and normal year to year promotions. This is hurting workers today and it will hurt them when they retire.
That is when we rightly asses that this election is a do or die election. In this election there is nobody who is well prepared, who can defeat president Magufuli and who can clean up tje mess created by this regime than the renowned diplomat and a former spy Bernard Cammilius Membe.
Membe has served this nation with high Integrity, he is a proponent of rule of law and respect for the constitution and abbhors politics of "terror".
The first thing Membe has to do when he is sworn into office is to bring a national reconciliation process, healing wounds caused by president Magufuli's "hurt all that oppose me" politics.
Membe shall work on the issue of the economy, solve the unemployment problem, create a functioning economy that will put our youth to work!
Also Bernard Membe will bring back the new constitution process on track as we have witnessed in these five years how bad our 1977 constitution is!. With this constitution, it is more like we have put all our eggs in. one basket. There is too much power in the hands of one person, this is absolutely dangerous as if he skrews things he can skrew them to the detriment of the whole nation and he can't be held accountable as this constitution still protects him from being sued.
With Membe at the helm, our diplomacy will once again be a shining example in Africa. And he will be able to impement his vision of economic diplomacy which he instituted when he was a foreign minister in the former government.
So stakes are too high, we certainly can't afford five more years of the massive propaganda propelled regime. We need a man in the office who will do a job rightly, justly and with high level of Integrity.
Membe is a right man for the Job
2020 Membe for president
2020 Twende na Membe
Naona unajicontradict tu.
Sheria ya Magzeti ya leo imetungwa na serikali hii hii, yenyewe ndiyo iliyopeleka muswada bungeni Nape Nnauye wakati huo akiwa waziri wa habari, na ikasainiwa na rais wa serikali hiihii, kwa hiyo serikali hii iko complicit na ubanaji wa vyombo vya habari.
Nafurahi umekiri kuwa niliyoorodhesha yaanathiri demokrasia ila nakushangaa unapodai ni speculation hahahah, Mzee uko out of touch au una mahaba na Magufuli, kama huoni jinsi utawala wa Magufuli unavyoharass wapinzani na kuwanyima nafasi ya kufanya shughuli halali za kisiasa na kuwaswekasweka ndani basi pengine una upofu au una mahaba mazito na Magufuli.
Kama huoni kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 ni fair, huru na haki basi You are more than blind.
Pole sana mzee!
bora kubaki na huyu huyu kuliko wewe unayejidanganya kitu ambacho unajua rohoni kwako hakiwezi kutokea hata kama atapata ridhaa ya vyama vyote vya upinzani. Na nina wasiwasi kama kweli wewe ni mtu wa upinzani wa kweli sababu kama ungekua wa kweli ungejua kama huyu Maembe Mrema Lowasa na Sumaye hawakua na nia yoyote nzuri ya kuwaongoza ninyi bali ni uroho wa kuwa viongozi tu. Bora hata Nyalandu japo simuamini pia lakini anaweza kuwa na sababu siyo hawa wanaokatwa mikia halafu wanakimbilia kuomba huruma ya wananchi.wewe hujachoshwa na utawala uliofeli wa Jiwe?, una moyo kweli wewe!
There are people in CCM who are fit to be in the opposition because they challenge this regime from within and there are people in the opposition who are fit to be in CCM, they are too opportunistic.
Membe has stood up to be counted, he has taken the bull by its horns, he has spoken his mind with no fear, and he has shown that all his thinking is the nation at heart and for the best interest of this nation.
So it is proper the opposition to trust honorable Membe.
He is courageous and visionary
We democracy and human rights loving people can't wait to see honorable Membe participating on the ballot as a candidate pursuing a noble course to oust this failed, bizzare, inhumane regime!
Mkuu Tindo, kupanga ni kuchagua. Vyama vya upinzani siku zote vimenyimwa nafasi ya kuendesha shughuli zao halali za kisiasa kwa mujibu wa sheria hapa nchini. Na kwa kuzingatia uhuru na haki zote zilizoainishwa kikatiba havina nafasi ya kujijenga toka kipindi ilipoingia madarakani awamu hii ya tano.
Nafikiri tunahitaji mtu sahihi wa kuviunganisha vyama vya upinzani pamoja ili vikapate kudhamiria na kuaminika kuitwaa Dola toka mikononi mwa chama tawala. Licha ya mapungufu yaliyojitokeza wakati ule wa Lowassa, isiwe sababu ya kutouona umuhimu wa kujaribu kufanya hivyo kwa mara nyingine.
Membe siyo mtu sahihiMkuu Tindo, kupanga ni kuchagua. Vyama vya upinzani siku zote vimenyimwa nafasi ya kuendesha shughuli zao halali za kisiasa kwa mujibu wa sheria hapa nchini. Na kwa kuzingatia uhuru na haki zote zilizoainishwa kikatiba havina nafasi ya kujijenga toka kipindi ilipoingia madarakani awamu hii ya tano.
Nafikiri tunahitaji mtu sahihi wa kuviunganisha vyama vya upinzani pamoja ili vikapate kudhamiria na kuaminika kuitwaa Dola toka mikononi mwa chama tawala. Licha ya mapungufu yaliyojitokeza wakati ule wa Lowassa, isiwe sababu ya kutouona umuhimu wa kujaribu kufanya hivyo kwa mara nyingine.
View attachment 1495154this is CCM siku moja mtapiga magoti kwa wananchi
Victoire Ukifanya Analyis ya ukweli Magu anapendwa sana, Dar kidogo kuna zile siasa za upinzani upinzani, lakini ukiondoa hilo hakuna unayeweza kumshindanisha naye, Fanya research mwenyewe. Kwa habari ya Membe? Hizo ni propaganda tu na weakness ya Wapinzani kudaka makapi ya CCM wakidhani wataleta changamoto ya kweli.Jirani ni balaa. I hate Membe but at the moment I hate Magufuli more than Membe. Wapinzani wakiweka tofauti zao pembeni wakaweka mgombea mmoja hata kama asipokuwa Membe. I tell you Magufuli atakuwa kwenye side mbaya sana.
Ni kweli Magufuli anapendwa sana na wananchi. Tatizo wananchi wamezoea tabu. Mimi nilikuwa nasemea nafsi yangu.Victoire Ukifanya Analyis ya ukweli Magu anapendwa sana, Dar kidogo kuna zile siasa za upinzani upinzani, lakini ukiondoa hilo hakuna unayeweza kumshindanisha naye, Fanya research mwenyewe. Kwa habari ya Membe? Hizo ni propaganda tu na weakness ya Wapinzani kudaka makapi ya CCM wakidhani wataleta changamoto ya kweli.
Hapana Mama wananchi hatujazoea taabu, Unafikiri wanasiasa wanaweza kutuondolea matatizo yetu? Hawawezi, ila kila Rais anapokuja kuna kundi linaloingia kufaidi na wengine wanapoteza, lakini tuliowengi tunaishi maisha yetu yale yale ya siku zote, siyo ya kuzoea taabu bali kwa nguvu zetu, kila pesa unapata kwa halali,bila wizi, bila rushwa.Ni kweli Magufuli anapendwa sana na wananchi. Tatizo wananchi wamezoea tabu. Mimi nilikuwa nasemea nafsi yangu.
Victoire Ukifanya Analyis ya ukweli Magu anapendwa sana, Dar kidogo kuna zile siasa za upinzani upinzani, lakini ukiondoa hilo hakuna unayeweza kumshindanisha naye, Fanya research mwenyewe. Kwa habari ya Membe? Hizo ni propaganda tu na weakness ya Wapinzani kudaka makapi ya CCM wakidhani wataleta changamoto ya kweli.
Damu ya Yesu haiwezi kupiga kura.Atawashinda ya kwa damu ya Yesu