Uchaguzi 2020 Bernard Membe is a real deal. Membe for president!

Kama kawaida yenu washabiki wa CDM Mkisoma kwenye mtandao mnafikiri ndio mnaisoma TanzaNia!!
Binafsi sikuona sababu ya kuhangaika na wapinzani, pamoja na na hoja zako hizo Wananchi wanampenda Magu, Mi naishi maisha yote nakuambia ukweli wala sio propaganda, Magu anapendwa na Wananchi.
 

Si vibaya ukiendelea kujiaminisha kama unavyoamini
Lakini ukweli ni kuwa don't misread ukimya wa watu mtaani kwa kukosekana shamrashamra za wazi kuonyesha kuunga mkono upinzani.

Subiri kampeni zianze utajua!
 
Si vibaya ukiendelea kujiaminisha kama unavyoamini
Lakini ukweli ni kuwa don't misread ukimya wa watu mtaani kwa kukosekana shamrashamra za wazi kuonyesha kuunga mkono upinzani.

Subiri kampeni zianze utajua!
Kumbe unategemea mikusanyiko ya kampeni, dah brother kwani we mgeni nchi hii? Mikusanyiko ya kampeni ni burudani zile hamna chama.
 
The above notes look like dissertation material for an Under Graduate student in one of the newly registered Universities in Tanzania. The notes are full of non - supportive and unsubstantiated information as related to the subject. Can the writer tell JF members the way Comrade Membe used our "RADAR CHANGE" from UK? Further we are still puzzled on how funds from the then Government of Libya under Gaddafi was squandered by Team Membe! These issues need to be explained before we can consider him for any public office in 2020's without considering his past stories NOT HISTORY!
 

Undergraduate is still a milestone in Tanzania as far as education is concerned.
Thank you for the compliments.
 
Kumbe unategemea mikusanyiko ya kampeni, dah brother kwani we mgeni nchi hii? Mikusanyiko ya kampeni ni burudani zile hamna chama.

Wewe siasa unaona ni burudani wenzio wanaona ni maisha.
Ninazungumzia uhuru wa kuzungumza na kutoa maoni kwa uhuru na kuonyesha wazi uungaji mkono wa mtu fulani. Sizungumzii mikutano ya kucheza sebene la CCM
 
Hivi huko upinzani mna Zitto,Tundulisu kisha mnahangaika na Membe kiukweli muda mwingine upinzan huwa siwaelewi.Simamishen mgombea mmoja either Tundu Lissu au Zitto Kabwe muachane na hao wanaotoka CCM.
Upinzani utopolo mwingi. Tundu lissu au kabwe wanatosha Sana membe sijui wanamtaka wa nini
 
Apana tuzikurupuke, hebu tufuatilie historia kwa ungalifu. Tumesikia sana kuwa membe sio mtu mkweli na ana chembechembe za ufisadi.

Kama tunataka mabadiliko, basi tuwaangalie watu kama Zitto, Lissu kwenye upinzani, na pia tushawishi mabadiliko ndani ya CCM yenyewe, wako watu wengi wa maana sana.
 

ukipewa choice ya Nyarandu na Membe utamchagua nani?

Zitto hajajiandaa kisaikolojia kugombea, Lissu anafaa sana lakini pressure ya taasisi nyeti dhidi yake ni kubwa mno kiasi kwamba hatujui kama atahakikishiwa usalama akirudi nchini (Japo hili siyo hoja sana kama Lissu ataonyesha ujasiri uleule aliokwisha uonyesha)

Je kwa nini tumrule out Membe, mtu ambaye kasimama kuhesabiwa kipindi akiwa hata ndani ya CCM?
 
Hiki ndo anachokumbana nacho ndugu jasusi mbobevu almaarufu mzee wa niguse ninuke😀😀
 
You should be banned for life!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…