Uchaguzi 2020 Bernard Membe is a real deal. Membe for president!

Uchaguzi 2020 Bernard Membe is a real deal. Membe for president!

Kumbe na wewe ni shabiki tu wa wanasiasa?

Sikulitegemea hili kutoka kwako aisee
 
Kumbe na wewe ni shabiki tu wa wanasiasa?

Sikulitegemea hili kutoka kwako aisee

Siyo shabiki, naunga mkono ninayedhani anafaa kuwa raisi bora.

Kwani wewe umeridhika na siasa za watu wasiojulikana katika awamu hii?
 
Hivi huko upinzani mna Zitto,Tundulisu kisha mnahangaika na Membe kiukweli muda mwingine upinzan huwa siwaelewi.Simamishen mgombea mmoja either Tundu Lissu au Zitto Kabwe muachane na hao wanaotoka CCM.
Hili bandiko siyo la upinzani ni la mchumia tumbo mmoja.

Wale wanaolipwa kupaka mafuta wanasiasa uchwara.

Membe hana nguvu yoyote na uwezo wowote wa kisiasa zaidi ya kuwa mmoja katika wao.

Bandiko la hovyo sana hili.
 
Vumilia maumivu tu kamanda! tunajua jinsi JPM alivyovuruga dili nyingi za kifisadi na wauza madawa ya kulevya.
huyo unayepoteza muda kumuandika hawezi kuwa RAIS wa TZ not this year and not ever!
Hivi nyie ni nani mnaozungumza as if mna hati miliki ya nchi? Au mumevimbewa?
 
It is never done until it was done

Obama, Trump, Mkapa na hata Magufuli ni watu ambao nobody ever thought wangeweza kuwa marais but it happened au siyo?

Sasa Membe also has chances to be president. Kama unadhani haiwezekani basi endelea kutoamini
Membe anaweza kuwa rais lakini syo kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Membe hana followers wengi kama aliokuwa nao Lowassa ambapo CCM ilikuwa na mtikisiko wakati huo. Leo hii Membe ni kelele na frustrations za kuukosa urais tu, hana wafuasi wa kuidhoofisha CCM kabisa, labda wafuasi wa Dar es salaama tu, lakini huko vijijini kwenye 90% ya wapiga kura hakuna anayemjua Membe.

Nimesikia akihojia na TV kadhaa anazungumza kama mtu asiyekuwa na akili timamu tena. Angekuwa na akili, angetumia njia ya Kikwete, kushirikiana na aliyepo madarakani akisubiri muda wake; siyo kuanza kugombana na aliyeko madarakani.

 
Siyo shabiki, naunga mkono ninayedhani anafaa kuwa raisi bora.

Kwani wewe umeridhika na siasa za watu wasiojulikana katika awamu hii?
Mimi siyo muumini wa siasa za kipumbavu za awamu ya tano, lakini pia siyo mjinga kiwango cha kudanganyika na makelele ya Membe tu.

Membe hana uwezo wowote wakuweza kuongoza upinzani kuchukua nchi.

Ni muda muafaka vyama vya upinzani viache kuokoteza wanasiasa njaa kutoka ccm eti waje kupambana na ccm yao Never.

Kama hatuna wa kusimamisha urais bora tumuombe Suleiman Bungara (Bwege) apeperushe bendera.
 
Ila wapinzani wangejaribu tena kumsimamisha mgombea mmoja kama mwaka 2015. Unajua huyu mzee baba anakubalika ila na kikundi kidogo ambacho kipo CCM. wananchi wengi wengi hadi sasa wamevurugika hawaelewi sema ndio vile wafanyaje.

Sasa nao walivyo maboya wapinzani wanagawanyika, sisi wananchi hatuna namna sababu wapinzani hawana umoja sisi tunampitisha Magufuli tu japo tunajua hali zetu ni mbaya.

Kipindi kama hiki ndio ilitakiwa upinzani uoneshe kuikomboa nchi. Hawa mataga hawawezi kutolewa pasipo kuungana.
 
We are giving Jiwe matching orders inadvance. He should leave the office at once and ASAP. Membe MUST be president at all cost come morning comes eventing come rain comes sunshine for the betterness of national importance....

Lol crocodile's tears....

Its so shocking to compare a really zealout son of Tanzania Magufuli and hooliganism.....

It's high time now to change our childish mentalities for the future of our nation which is secured and safe on the hands of our beloved president!!!
 
Lol crocodile's tears....

Its so shocking to compare a really zealout son of Tanzania Magufuli and hooliganism.....

It's high time now to change our childish mentalities for the future of our nation which is secured and safe on the hands of our beloved president!!!
Someone who steal condolences money without shame and impunity concidering his high status is more than a thug
 
Membe usitake kuvuna usipopanda


2020 iache haikuhusu kisha tengeneza 2025 uingie ikulu si kuchallange

Binafsi nashauri urais tumwachie magu kisha ubunge tukapigane tupate wabunge wenye sense of duty. Honour and. Justice
 
Membe anaweza kuwa rais lakini syo kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Membe hana followers wengi kama aliokuwa nao Lowassa ambapo CCM ilikuwa na mtikisiko wakati huo. Leo hii Membe ni kelele na frustrations za kuukosa urais tu, hana wafuasi wa kuidhoofisha CCM kabisa, labda wafuasi wa Dar es salaama tu, lakini huko vijijini kwenye 90% ya wapiga kura hakuna anayemjua Membe...
Followers wengi wa Membe wako wapi? Kwanini mnamdanganya huyu Mzee? Hammwachi apumzike alee wajukuu?
 
Ila wapinzani wangejaribu tena kumsimamisha mgombea mmoja kama mwaka 2015. Unajua huyu mzee baba anakubalika ila na kikundi kidogo ambacho kipo CCM. wananchi wengi wengi hadi sasa wamevurugika hawaelewi sema ndio vile wafanyaje...
Umeongea vice versa, anapingwa na kikundi kidogo ndani ya CCM, nje ya CCM Mzee Baba wanamuelewa sana.
 
Back
Top Bottom