Mwendakuzimu ni Mrundi fact, hilo wala halina ubishi, hakuna Mtanzania katili wa vile.
Mwendakuzimu ni Mrundi fact, hilo wala halina ubishi, hakuna Mtanzania katili wa vile.
Baada ya jeshi letu JWTZ, TISS iikuwa inaheshimika sana maana ilikuwa ya proffessionals.wafanyakazi wa hiyo TISS ni binadamu pia
Wewe jamaa JEENGER sana.Chadema kuna Wakikuyu wengi tu!
Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono babu.Baada ya jeshi letu JWTZ, TISS iikuwa inaheshimika sana maana ilikuwa ya proffessionals.
TISS walikuwa watu wenye akili katika data collection,analytics, espionage, operations pamoja na utawala na missions, visions zao zilikuwa clear.
Come mwendazake, kaingiza watu wasio na uelewa wala ujuzi wa kazi. Vijana wana flash vitambulisho kwa majidai-openly removing cover.
Watu ndani ya TISS wanatumika kwa visasi vya kisiasa.
Lakini wale original members tunajua walikuwa wakisononeka moyoni lakini wafanyeje!
Angetuambia kwanini alisitisha kampeni!Ukitaka kujua membe ni mpumbavu anamuona Mabufuli sio mtanzania huku anajidai wakati wa fisadi kikwete ku.ikuwa na vetting me kuhusu katibu mkuu wake Kinana na usomali wake!?
Jiwe ni mrundiHizo ni kashfa za kisiasa, hata baba wa taifa walisema ni Mrundi.
Wakati huo wewe ulikuwa chato unachanja kuni kwenu na kuwinda tetereAngetuambia kwanini alisitisha kampeni!
Kama weweMropokaji huyo
Hata mimi napata mashaka kwa hao watu wawiliYule aliyedaiwa hana akili sawa sawa, aliyejirekodi akicheza muziki peke yake I nani huyo..... Polepole au Musiba?
Hivi kuna ufisadi uliowahi kufanyika zaidi ta uliofanyika kwenye awamu y a 5?Ndicho Membe anachojaribu ku portray wakati TISS wanaojiita wabobezi Kama yeye walitaka nchi iporwe na mafisadi na vibaraka wa wezi wa nje
Shukrani Sana kwa Mkuu wa TISS Kipilimba alijitahidi mno nchi isiporwe na mafisadi au maajenti wa mafisadi wa upinzani wa UKAWA .Nchi isingeweza kurudi kwa watanzania majority bila mtutu wa Bunduki Kama 2015 wangeshika CCM mafisadi au wangeshika Chadema au CUF
Nchi Ingetumbukia mikononi mwa foreigners Wala keki ya nchi peke yao na proxy wao
TISS asanteni kwa kazi nzuri mlifanyia 2015 Mungu atawalipa sababu history ya Tanzania ingebadilika completely na hata mama Samia leo asingekuwa Raisi sababu CCM Ingekuwa ilipigwa chini uchaguzi huyu mama umakamu wa Raisi angeusikia kwenye radio na CCM Ingekuwa out of power
Sawa mwaweza laumiwa kuwa hamukuingiza waroho wao hao wanaojiita TISS wabobezi akina Membe but you saved the nation mkawezesha Hadi leo CCM kuwa madarakani wakati vyama kibao vilivyoleta Uhuru Afrika vilishatupwa nje na mkawezesha Mama Samia kuwa Raisi na Nchi kuendelea kuwa na amani.God bless you
Na awamu iliyotangulia wangekuwa makini kwenye vetting Kikwete asingekuwa rais. Unakumbuka walivyoiteka nchi kwa fedha yeye na Lowassa kipindi hicho? Tatizo la vetting limeanza kuwa kubwa tangu kipindi hicho.Awamu ya nne ingekua makini katika Vetting Magufuli na Dk. Mpango wasingefika walipofika...
Afterall Tanzania ni kama marekani tu ni ardhi ya wahamiaji.
Ni Polepole. Hii iko white and clear! Ndiye alijirikodi akicheza. Na hili dongo limetupwa kwake kwani kwa maoni ya Membe, Magufuli, Bashiru na Polepole ndiyo walikuwa wabaya wake.Hata mimi napata mashaka kwa hao watu wawili
Nashukuru sana kwa ufafanuziNi Polepole. Hii iko white and clear! Ndiye alijirikodi akicheza. Na hili dongo limetupwa kwake kwani kwa maoni ya Membe, Magufuli, Bashiru na Polepole ndiyo walikuwa wabaya wake.