Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Unajidanganya.
Kuna warundi wasio wakatili kabisa na wanaumizwa sana na ukatili wa warundi wenzao chini ya Kagame, pia kuna Watanzania wengi wakatili zaidi ya Kagame au Iddi Amin. Sisi sio binadamu "special".
Kuna warundi wasio wakatili kabisa na wanaumizwa sana na ukatili wa warundi wenzao chini ya Kagame, pia kuna Watanzania wengi wakatili zaidi ya Kagame au Iddi Amin. Sisi sio binadamu "special".
Mwendakuzimu ni Mrundi fact, hilo wala halina ubishi, hakuna Mtanzania katili wa vile.