Bernard Membe kuongea na Wahariri leo Oktoba 19, 2020

Kwa kweli inaumiza sana
 
Kwanini hawajakufuntgia na wewe yako? Uongo mwingine punguzeni! Membe a7natkangaza kurudi nyumbani kauwasoma wapinzani hawajawa na nia ya kuchukua nchinchihfkekokahk.rg7g
 
Ramli chonganishi
 
Huenda aka rudi nyumbani ili account zake zifunguliwe. Maana kwa sasa anaishi kwa kugongea
 
Siku 9 zilizobaki ni nyingi sana kwenye kampeni za siasa
😎😎😎😎😎😎😎😎😎
 
Mkuu saa nne ndio hio!! tunasubiri mrejesho!!
 
Kwann hawajakufuntgia na wewe yako? Uongo mwingine punguzeni! Membe a7natkangaza kurudi nyumbani kauwasoma wapinzani hawajawa na nia ya kuchukua nchinchihfkekokahk.rg7g
Bado unavuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba?
 
Bora Membe alishtuka mapema maana Zitto na wenzie wangemmalizia tu pesa zake nyingi alizopiga enzi zile yeye na Kikwete wanaitafuna Nchi

Zitto alikuwa anajua Membe hana lolote kwenye medani za siasa
 
Bado tu hajaongea? CCM haibabaishwi mwambieni. Angebaki huko atulie tu maana kila mmoja anamuogopa. Kachero huwa haasi akaachwa salama. Kama yuko salama yuko kazini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…