secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Kwa kweli inaumiza sanaMoja ya kero kubwa iliyopo kwenye utawala huu wa mtukufu magufuli toka chato na chamwino ni kutumia BOT mabenk kuwapora watu pesa zao kwa visingizio vya utakatishaji pesa na endapo mwenye pesa anathubutu kupiga kelele anapewa kesi ya uhujumu uchumi ni uonevu unyanyasaji ulioje...
Ramli chonganishiKuna taarifa za awali zinaonyesha kuwa ‘Kachero Mbobezi’ ndugu Bernard Membe ameamua kufanya ‘maamuzi magumu’ na hivyo asubuhi ya leo mida ya saa 4 anatarajiwa ‘kulipuka’ mbele ya Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar...
Huenda aka rudi nyumbani ili account zake zifunguliwe. Maana kwa sasa anaishi kwa kugongeaKuna taarifa za awali zinaonyesha kuwa ‘Kachero Mbobezi’ ndugu Bernard Membe ameamua kufanya ‘maamuzi magumu’ na hivyo asubuhi ya leo mida ya saa 4 anatarajiwa ‘kulipuka’ mbele ya Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar...
Kaka mkubwa upo aisee... tutafutane brother..Pamoja na ukachero wake alishindwa kumbaini Zitto alichokuwa anatafuta kwake!?
Mkuu saa nne ndio hio!! tunasubiri mrejesho!!Kuna taarifa za awali zinaonyesha kuwa ‘Kachero Mbobezi’ ndugu Bernard Membe ameamua kufanya ‘maamuzi magumu’ na hivyo asubuhi ya leo mida ya saa 4 anatarajiwa ‘kulipuka’ mbele ya Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar..
Bado unavuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba?Kwann hawajakufuntgia na wewe yako? Uongo mwingine punguzeni! Membe a7natkangaza kurudi nyumbani kauwasoma wapinzani hawajawa na nia ya kuchukua nchinchihfkekokahk.rg7g
... mbona alihitimisha since day one.Hivi huyu bwana kampeni zake keshahitimisha?
Kuporwa haiwezekani. Hela zake zitakuwa zimepelekwa likizo tu mpaka muda utakaofaaMembe kaporwa pesa zake zote hana kitu A/c zake zote wamezifunga