Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mtoto mzuri.Wewe na yeye Nani bure?
Hana kitu mkuu.Kwanini??,kisa yupo kimya??.
Milembe wanasema hivyo Ila sijathibitisha.Are you okay Mentally?
Wabongo Bwana,akiongea mtamkosoa akikaa kimya oh hana kitu, yaani watu hawana jema.Hana kitu mkuu.
Wachina bwana,akiongea ujinga mtamuona Ni jasusi mbobezi.Wabongo Bwana,akiongea mtamkosoa akikaa kimya oh hana kitu, yaani watu hawana jema.
Jasusi wa zamani wa TISS, Mwanadiplomasia na waziri mstaafu Benard Membe yupo kimya Sana awamu hii.
Membe ni jasiri aliyemtikisa Magufuli na kukosoa utendaji wake tangu mwaka 2016 mwanzoni. Namnukuu"Rais Magufuli asitudanganye eti kapunguza matumizi ya serikali kwa kuunganisha wizara mbalimbali, alichokifanya ni sawa na kupunguza mifuko huku idadi ya mayai ikiwa ileile, yaani kahamishia mayai ktk mifuko michache na sio kuyapunguza mayai. Kama anadai kapunguza wizara ngoja tuone bajeti yake ya Kwanza mwaka huu 2016". Benard Membe.
Alipotoa kauli hiyo alitukanwa Sana na UVCCM ya kipindi hicho. Baada ya hapo alinyamaza kimya na kuibuka baadae na kudai atampinga Rais Magufuli kwa njia ya uchaguzi ndani ya chama 2020. Hawakumvumilia na badala yake alifukuzwa na kuhamia ACT. Aligombea Urais na kuambulia kura chache mno, kura si zaidi ya 60,000.
Je, jasusi huyu yupo wapi mbona hasikiki? Anautazama vipi utawala huu?
Shida sana.Wachina bwana,akiongea ujinga mtamuona Ni jasusi mbobezi.
Alipitia kipindi cha kutisha.He completed his assignment on 17th March, 2021 and now he's enjoying the Payment.
Jasusi wa zamani wa TISS, Mwanadiplomasia na waziri mstaafu Benard Membe yupo kimya Sana awamu hii.
Membe ni jasiri aliyemtikisa Magufuli na kukosoa utendaji wake tangu mwaka 2016 mwanzoni. Namnukuu"Rais Magufuli asitudanganye eti kapunguza matumizi ya serikali kwa kuunganisha wizara mbalimbali, alichokifanya ni sawa na kupunguza mifuko huku idadi ya mayai ikiwa ileile, yaani kahamishia mayai ktk mifuko michache na sio kuyapunguza mayai. Kama anadai kapunguza wizara ngoja tuone bajeti yake ya Kwanza mwaka huu 2016". Benard Membe.
Alipotoa kauli hiyo alitukanwa Sana na UVCCM ya kipindi hicho. Baada ya hapo alinyamaza kimya na kuibuka baadae na kudai atampinga Rais Magufuli kwa njia ya uchaguzi ndani ya chama 2020. Hawakumvumilia na badala yake alifukuzwa na kuhamia ACT. Aligombea Urais na kuambulia kura chache mno, kura si zaidi ya 60,000.
Je, jasusi huyu yupo wapi mbona hasikiki? Anautazama vipi utawala huu?
He completed his assignment on 17th March, 2021 and now he's enjoying the Payment.
Anasubiria TAFRIJA baada ya kusaini wino mwekundu😂😂😂😂😂Nasikia Kwenye magrupu ya whatsapp huwa anatuma vibonzo, ila hajibu message😁
Majasusi yanaongea kwa codesNasikia Kwenye magrupu ya whatsapp huwa anatuma vibonzo, ila hajibu message😁
Hata Mzee wa Msoga naye amshukuru Mungu bado yupoAlipitia kipindi cha kutisha.
Amshukuru Mungu bado yupo yupo kwa habari tunazotonywa.
Uchochezi huuHe completed his assignment on 17th March, 2021 and now he's enjoying the Payment.
DuuuhhHata Mzee wa Msoga naye amshukuru Mungu bado yupo, naye alikuwa kwenye foleni.
Wewe Che Nkapa mwenyewe huoni utata kifo chake
Habari ndio hiyo MkuuDuuuhh