Bernard Membe mbona yupo kimya sana?

waliompa kazi na kuijua job description yake hawana shida naye wanajua kazi aliyoifanya...
 
afya baba, afya ni mali!.....usiwaone hawa wakubwa wanabeba vimwana kama wanashindania makombe ya "kugegeda"! Covid imetufumbua macho baada ya wengi kushindwa kwenda kwenye kliniki zao huko Spain, India nk. Haki ya nani itumieni miili yenu vizuri maana kuna wakati utakuwa unatembea na toolbox lako(begi la vidonge).
 

Kazi imeshaimaliza.. Au unaamini Ugonjwa wa moyo ulimuua Baba mwendazake
 
Anasubiri bao la dakika 89.
 
Bernard yuko kimya sababu anasubiria hukunu ya CAS!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…