Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Mimi sio kachero, nimegombea kuchukua kiti cha urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Hapo kwenye idadi kubwa ya wabunge waliomfuata naomba niwajue kwa anayewajua tafadhari
 
Membe hana ubavu wa kukataa hela za magufuli. Amechoka kimaisha na ananunulika kwa bei yeyote. Sio lazima ahaidiwe cheo, anaweza pewa hela kwa ajili ya kuvuruga mchakato wa upinzani kuchukua nchi.

Ila walichokosea waliomtuma ni kuwa, mwaka huu wananchi hawaaangalii Membe au nini??? Wanaangalia mwenye uwezo na dhamira ya dhati ya kuangusha utawala dhalimu wa Ccm na magufuli na huyo si mwingine Ila ni Tundu Antiphas Lissu
 
Huku upinzani ataondoka bila kugeuka nyuma...
hatutaki umbuzi kwenye mambo ya msingi.
 
..ndiyo maana kulikuwa na idadi kubwa sana ya wabunge waliomfuata na wala hawakwenda kwenye vyama vingine.

Source: DW
Membe anatakiwa kuamka kutoka usingizini. Hao wabunge wengi sana atakuwa aliwaona ndotoni.

Huyu mzee sasa hivi ukimsikiliza na hata kumuangalia, mentally hayupo vizuri.
 
Jana wakati anasema kuna viapo hawezi kuvivunja tupo tuliomuelewa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…