Dar es Salaam, Tanzania
BERNARD MEMBE: NI UCHAGUZI WA KISHINDO
Mahojiano na mwandishi S. Kubenea wa MwanaHALISI TV nyumbani kwake Mh. Bernard C. Membe Waziri wa Mstaafu wa Mambo ya Nje nchini Tanzania, Bernard Membe amegusa mambo mengi kuhusu siasa nchini pamoja na nia yake ya kutaka kugombea urais wa Tanzania kupitia chama pinzani mara baada ya kutimuliwa uanachama ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Chanzo: MwanaHALISI TV
BERNARD MEMBE: NI UCHAGUZI WA KISHINDO
Mahojiano na mwandishi S. Kubenea wa MwanaHALISI TV nyumbani kwake Mh. Bernard C. Membe Waziri wa Mstaafu wa Mambo ya Nje nchini Tanzania, Bernard Membe amegusa mambo mengi kuhusu siasa nchini pamoja na nia yake ya kutaka kugombea urais wa Tanzania kupitia chama pinzani mara baada ya kutimuliwa uanachama ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Chanzo: MwanaHALISI TV