Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Zitto knows. Yeye hana shida na urais maana anajua fika Membe hana ubavu huo. Anachotaka Zitto ni kumtumia Membe kwa kiasi flani kupata wabunge kadhaa na idadi ya juu kidogo ya kura za urais ili RUZUKU ya ATC iwe kubwa sana.Membe ni CCM kazini. Membe anachoenda kufanya ni Divide and rule tu,sijui hawa Kina Zito na Mbowe hawajaliona hili? au kwa Maslahi yao mapana binafsi
It is all about MATUMBO yao. They dont care about nyie wapiga kura ambao mnaweza hata kuvunjwa miguu in the process ya kulinda kura zao