The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Nataka Sana kuamini Bernard Membe ana kitu 'interesting'anakuja nacho lakini nashindwa.
Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine.
Nashindwa kabisa kumtazama Bernard Membe kama 'mtu mwenye master plan'
Ya kumtoa Magufuli au hata kuleta Tu demokrasia ya kweli achilia mbali plan ya kukamata madaraka.
Makosa ya Bernard Membe ndo makosa ya Lowasa ..ndo makosa ya Chadema na kina Mrema na wengine.
Kosa kuu kabisa ni kushindwa kutazama events kabla hazijatokea na kutumia nafasi yako ku shape hizo events ..na soon atajikuta victims wa events ambazo
Wengi tunaona na tunajua ni predictable sababu trends ya siasa za Tanzania inajulikana kabisa..tofauti na Mrema ambae kabla ya kujitoa CCM na kwenda gombea urais kulikuwa hakujawahi kuwepo uchaguzi wa vyama vingi wala jaribio la kuleta katiba mpya..
Membe na Lowasa na wengine wa sasa wote wanajua uchaguzi unavyoendeshwa nchini..na wote wanajua tume ya uchaguzi ilivyo..na wote walikuwa na nafasi ya Ku shape things for future wakati wa Bunge la katiba
Laiti kama kina Lowasa ,Membe ,Nape ,lipumba ,Tundu lissu wangeungana kipindi cha Bunge la katiba na kuhakikisha nchi inapata tume huru ya uchaguzi..leo tungekuwa labda na Rais Lowasa au tunazungumzia uwezekano wa Membe kuwa Rais uchaguzi huu..
Lakini kushindwa kuona future na kufikiri siku zote maslahi yao yako CCM na yako pamoja na maslahi ya dolla ndo leo mtu kama Membe anatia huruma hata kabla hajaweza kugombea. Lowassa anatia huruma..Nape anatia huruma.. Lipumba huyu ndo aliongoza kina Tundu Lissu kususa Bunge la katiba anatia huruma.
Ukweli wanasiasa wengi wanatia huruma na watazidi kutia huruma hasa siku Magufuli atakapotangazwa Rais wa Maisha...
If only wangekuwa smart enough to see the obvious...wengeweza shape the future
Ila Kwa sasa most likely watakuwa the next victims wa same old story
Ya kulalamika uchaguzi haukuwa huru na blabla nyingine.
Mpaka tutakapo pata wanasiasa wa kutazama miaka 100 mbele ..kila siku Hali itakuwa hivi hivi same old story
Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine.
Nashindwa kabisa kumtazama Bernard Membe kama 'mtu mwenye master plan'
Ya kumtoa Magufuli au hata kuleta Tu demokrasia ya kweli achilia mbali plan ya kukamata madaraka.
Makosa ya Bernard Membe ndo makosa ya Lowasa ..ndo makosa ya Chadema na kina Mrema na wengine.
Kosa kuu kabisa ni kushindwa kutazama events kabla hazijatokea na kutumia nafasi yako ku shape hizo events ..na soon atajikuta victims wa events ambazo
Wengi tunaona na tunajua ni predictable sababu trends ya siasa za Tanzania inajulikana kabisa..tofauti na Mrema ambae kabla ya kujitoa CCM na kwenda gombea urais kulikuwa hakujawahi kuwepo uchaguzi wa vyama vingi wala jaribio la kuleta katiba mpya..
Membe na Lowasa na wengine wa sasa wote wanajua uchaguzi unavyoendeshwa nchini..na wote wanajua tume ya uchaguzi ilivyo..na wote walikuwa na nafasi ya Ku shape things for future wakati wa Bunge la katiba
Laiti kama kina Lowasa ,Membe ,Nape ,lipumba ,Tundu lissu wangeungana kipindi cha Bunge la katiba na kuhakikisha nchi inapata tume huru ya uchaguzi..leo tungekuwa labda na Rais Lowasa au tunazungumzia uwezekano wa Membe kuwa Rais uchaguzi huu..
Lakini kushindwa kuona future na kufikiri siku zote maslahi yao yako CCM na yako pamoja na maslahi ya dolla ndo leo mtu kama Membe anatia huruma hata kabla hajaweza kugombea. Lowassa anatia huruma..Nape anatia huruma.. Lipumba huyu ndo aliongoza kina Tundu Lissu kususa Bunge la katiba anatia huruma.
Ukweli wanasiasa wengi wanatia huruma na watazidi kutia huruma hasa siku Magufuli atakapotangazwa Rais wa Maisha...
If only wangekuwa smart enough to see the obvious...wengeweza shape the future
Ila Kwa sasa most likely watakuwa the next victims wa same old story
Ya kulalamika uchaguzi haukuwa huru na blabla nyingine.
Mpaka tutakapo pata wanasiasa wa kutazama miaka 100 mbele ..kila siku Hali itakuwa hivi hivi same old story