Bernard Membe: Sitaomba msamaha!

Bernard Membe: Sitaomba msamaha!

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.

Kuna maswali?



20200606_200658.jpg
 
Ni Upuuzi tu kumuomba, Kumpigia magoti binadamu mwenzio badala ya Mungu..

Eti unaomba msamaha kwa mtu anaye vuna dhambi kila siku na kufanya maovu?

Wakina Lissu na watu waliopotea akiwa Rais mbona yeye ajaomba msamaha?

Kamwe hata mimi siwezi kuomba msamaha kwa kumsema mtu kwamba anaongoza nchi ovyo tena kwenye simu eti kisa nimesema mshamba kwani ushamba ni tusi?

Wasio na pakushika tu na mafisadi ndio wanaweza kujikomba kama walivyofanya Kinana, Makamba, Ngeleja na Nape.

Akwillina, Azory, Ben Saanane, Mawazo, Lwejabe na wengine hata kama familia zao hazijaombwa msamaha.

R. I. P.
 
Aombe msamaha achekwe huku bado ana ndoto za kuwania uraisi 2020?
 
Back
Top Bottom