Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Uchaguzi huu ulikuwa wa madudu

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Uchaguzi huu ulikuwa wa madudu


Watanzania wenzangu kuna barua inasaambaa kwenye mitandao ya jamii inayodai kwamba mimi nimempongeza Rais kwa ushindi wa Urais.Barua hiyo ni fake na ipuuzeni. Kamwe siwezi kumpongeza kwa uchaguzi wa madudu kama huu. Sana sana nitamwandikia kumwomba ajiuzuru ili uchaguzi urudiwe-Bernard Membe kupitia twitter
Membe kura zako za huruma zatosha
 
Kama unajitia upofu makusudi utaona vipi?!

Mpaka askari wamewasaidia kuyaficha makaratasi kwenye vituo vyao, ulitaka wakamatwe polisi?!

Najua huu ukweli unakuumiza kwa mahaba yako ya kijani ila vumilia tu, acha ujinga kidogo uwe huru.
Nani awe huru?wewe unaebwabwaja ndiyo hauko huru
 
Bora membe umesema..
Hata kikwete hajapata AIBU KAMA HII.
Chadema wa kupata wabunge chini ya viti 10?.
Ahaaaaaaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Jamani Hadi pembaaa
 
Labda kitu usichokijua NI kuwa.
Kura feki sio zile zilizochomwa Moto peke yake.ZINGINE ZILIKAMATWA KWENYE MALORI.
Lakini Mimi pia bado Nina swali kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?
Hivi nikikamata mwizi tuseme kaniibia redio,na polisi wakafika wakamdhibiti,
ipi ni sahihi kati ya hizi njia za kutunza hiyo redio kama kithibitisho

1. Mimi kuchukua redio kwenda kuitunza au polisi ndo wanaotunza hicho kifaa?
2. Naamini kukutwa na kura feki kwenye eneo la kupigia kura ni kosa la jinai, sasa je ni nani alitakiwa kushughulika na huyo mhalifu ni raia waliokuwepo eneo la tukio au ni polisi?

Mwenyekujua anisaidie ili huko mbeleni nisijekosea asanteni
Screenshot_20201029-061237.jpg
 
Hata wewe ulitakiwa umpongeze membe.
Maana uchafu uliofanywa na NEC na magufuli mwaka huu NI wa kiwango Cha MWISHO.
Utaona bavicha wakimpongeza Membe kwa ujasiri
[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Watanzania wenzangu kuna barua inasaambaa kwenye mitandao ya jamii inayodai kwamba mimi nimempongeza Rais kwa ushindi wa Urais.Barua hiyo ni fake na ipuuzeni.

Kamwe siwezi kumpongeza kwa uchaguzi wa madudu kama huu. Sana sana nitamwandikia kumwomba ajiuzuru ili uchaguzi urudiwe-Bernard Membe kupitia twitter
Jasusi mbobezi hajatosheka tu na jinsi alivyowapoteza wapinzani, anataka awasbaratishe kabisa....anawavutaaaaaa kisha anang'ata...
 
Wewe jamaa unafurahishaga sana, huwa hukati tamaa na harakati zako za mbio za sakafuni. Usikute ndio umeanza safari nyingine tena ya kuzungukia tweets za wanasiasa kuzileta JF hadi 2025.

Zamu hii hadi 2025 utakuwa hujaokota makopo kweli!?, Kwa kipigo kilichowakuta niliamini mtapunguza upashkuna wa mitandaoni. Ila mna moyo aisee.
Wagumu sana kuelewaa hawaaa
 
Hata mimi mkuu, nikiweka thread zangu zote hazikubaliwi kabisa hasa kwenye jukwaa la habari na hoja na jukwaa la siasa. Mimi mwenyewe napata mashaka sasa.
Wameanza kuogopa hawa jamaa na inawezekana baadae wakatoa details za watu. Sasa inabidi tubakie jukwaa la mapenzi na mahusiano.
INAKUAJE THREADS ZINAHUSU UCHAGUZI WANAZICHUJA SANAAA NA MWISHO WAKE HAWAZIPOST. KWA IYO SAIVI JAMII FORUM IMEKUWA PRAISE FORUM NAYO.
 
Tunakushangaa hujakuwepo kwenye mkutano wa viongozi wa vyama kutoa tamko la kuhamasisha maandamano nchi nzima kama mgombea rais. Au mwenzetu unaandama kivyako!
 

Watanzania wenzangu kuna barua inasaambaa kwenye mitandao ya jamii inayodai kwamba mimi nimempongeza Rais kwa ushindi wa Urais.Barua hiyo ni fake na ipuuzeni.

Kamwe siwezi kumpongeza kwa uchaguzi wa madudu kama huu. Sana sana nitamwandikia kumwomba ajiuzuru ili uchaguzi urudiwe-Bernard Membe kupitia twitter

This person is just joking, you never participated in any form of campaign, not all Tanzanians are fools au wapo kwenye usingizi wa pono! Tulikuwa tunangoja mpira wako uanze dakika ya 89[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ndo uingie ikulu ya Dsm(siyo ya Dodoma) na kuanza kutumia kalamu ya wino mwekundu(according to your announcement through social media)![emoji38][emoji38]
 
Wewe jamaa unafurahishaga sana, huwa hukati tamaa na harakati zako za mbio za sakafuni. Usikute ndio umeanza safari nyingine tena ya kuzungukia tweets za wanasiasa kuzileta JF hadi 2025.

Zamu hii hadi 2025 utakuwa hujaokota makopo kweli!?, Kwa kipigo kilichowakuta niliamini mtapunguza upashkuna wa mitandaoni. Ila mna moyo aisee.
Kwa kweli..katika watu walioumia na kusaga meno kwenye uchaguzi huu huyu namba moja,sijui aliahidiwa nini.
 
Aibu kubwa kwa vibaraka na mabwana zenu, mikaratasi imprint wenyewe, msambaze wenyewe, mjikamate wenyewe na muharibu ushahidi kwa kuuchoma wenyewe, ushaona wapi kielelezo/ushahidi unachomwa moto? mbona hatuwaoni mlowakamata na hayo makaratasi? Pathetic...

Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app

Kwani wao ni polisi was kukamata wahalifu, na hao polisi waliokuwa kila kituo mbona hawakuwakamata hao wenye mabeg yenye kura fake kama zilikuwa za wapinzani ningeingizwaje kwenye masanduku yanayolindwa na polisi. Hoja yako inaonesha ulivyo mjinga wa kiwango cha juu. Kuprint karatasi ya kura ni kosa la jinai hivi ni nani hadi sasa amekamatwa na hao polisi kama zilikuwa printed na wapinzani. Aibu tupu hadi mnasema ni fake. Mlipoamua kuprint pale jamana ndo ulikuwa mpango wa wizi mbwa nyie
 
Polisi wetu ni sehemu ya huu udhalimu. Jacob aliegombea Ubunge Ubungo kupitia CDM anasema alifanikiwa kumkamata jamaa akiwa na kura kibao tu na kumpeleka Polisi lakini kule alijibiwa kua wao Polisi hawahusiki na issues za kura, ni mambo ya tume, so Jamaa akaachiwa.
Kuna malipo ya uovu. Hatuwezi kufanikiwa kama Taifa kama kuna uovu mahali .Bahati Mbaya sana hawa watu huwa wanajifanya wapiga dua wazuri. Ni wazugaji SAANA.
 

Watanzania wenzangu kuna barua inasaambaa kwenye mitandao ya jamii inayodai kwamba mimi nimempongeza Rais kwa ushindi wa Urais.Barua hiyo ni fake na ipuuzeni.

Kamwe siwezi kumpongeza kwa uchaguzi wa madudu kama huu. Sana sana nitamwandikia kumwomba ajiuzuru ili uchaguzi urudiwe-Bernard Membe kupitia twitter
Mbona mwandiko sio wa Kachero mbobezi?
 
alichokifanya kachero membe sidhani kama wapinzani watarudia kuwashobokea ccm
 
Back
Top Bottom