citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Membe kura zako za huruma zatosha
Watanzania wenzangu kuna barua inasaambaa kwenye mitandao ya jamii inayodai kwamba mimi nimempongeza Rais kwa ushindi wa Urais.Barua hiyo ni fake na ipuuzeni. Kamwe siwezi kumpongeza kwa uchaguzi wa madudu kama huu. Sana sana nitamwandikia kumwomba ajiuzuru ili uchaguzi urudiwe-Bernard Membe kupitia twitter
Nani awe huru?wewe unaebwabwaja ndiyo hauko huruKama unajitia upofu makusudi utaona vipi?!
Mpaka askari wamewasaidia kuyaficha makaratasi kwenye vituo vyao, ulitaka wakamatwe polisi?!
Najua huu ukweli unakuumiza kwa mahaba yako ya kijani ila vumilia tu, acha ujinga kidogo uwe huru.
Hivi nikikamata mwizi tuseme kaniibia redio,na polisi wakafika wakamdhibiti,
ipi ni sahihi kati ya hizi njia za kutunza hiyo redio kama kithibitisho
1. Mimi kuchukua redio kwenda kuitunza au polisi ndo wanaotunza hicho kifaa?
2. Naamini kukutwa na kura feki kwenye eneo la kupigia kura ni kosa la jinai, sasa je ni nani alitakiwa kushughulika na huyo mhalifu ni raia waliokuwepo eneo la tukio au ni polisi?
Mwenyekujua anisaidie ili huko mbeleni nisijekosea asanteni
Utaona bavicha wakimpongeza Membe kwa ujasiri
[emoji23][emoji23][emoji23]
Jasusi mbobezi hajatosheka tu na jinsi alivyowapoteza wapinzani, anataka awasbaratishe kabisa....anawavutaaaaaa kisha anang'ata...
Watanzania wenzangu kuna barua inasaambaa kwenye mitandao ya jamii inayodai kwamba mimi nimempongeza Rais kwa ushindi wa Urais.Barua hiyo ni fake na ipuuzeni.
Kamwe siwezi kumpongeza kwa uchaguzi wa madudu kama huu. Sana sana nitamwandikia kumwomba ajiuzuru ili uchaguzi urudiwe-Bernard Membe kupitia twitter
Wagumu sana kuelewaa hawaaaWewe jamaa unafurahishaga sana, huwa hukati tamaa na harakati zako za mbio za sakafuni. Usikute ndio umeanza safari nyingine tena ya kuzungukia tweets za wanasiasa kuzileta JF hadi 2025.
Zamu hii hadi 2025 utakuwa hujaokota makopo kweli!?, Kwa kipigo kilichowakuta niliamini mtapunguza upashkuna wa mitandaoni. Ila mna moyo aisee.
Wameanza kuogopa hawa jamaa na inawezekana baadae wakatoa details za watu. Sasa inabidi tubakie jukwaa la mapenzi na mahusiano.Hata mimi mkuu, nikiweka thread zangu zote hazikubaliwi kabisa hasa kwenye jukwaa la habari na hoja na jukwaa la siasa. Mimi mwenyewe napata mashaka sasa.
Watanzania wenzangu kuna barua inasaambaa kwenye mitandao ya jamii inayodai kwamba mimi nimempongeza Rais kwa ushindi wa Urais.Barua hiyo ni fake na ipuuzeni.
Kamwe siwezi kumpongeza kwa uchaguzi wa madudu kama huu. Sana sana nitamwandikia kumwomba ajiuzuru ili uchaguzi urudiwe-Bernard Membe kupitia twitter
Kwa kweli..katika watu walioumia na kusaga meno kwenye uchaguzi huu huyu namba moja,sijui aliahidiwa nini.Wewe jamaa unafurahishaga sana, huwa hukati tamaa na harakati zako za mbio za sakafuni. Usikute ndio umeanza safari nyingine tena ya kuzungukia tweets za wanasiasa kuzileta JF hadi 2025.
Zamu hii hadi 2025 utakuwa hujaokota makopo kweli!?, Kwa kipigo kilichowakuta niliamini mtapunguza upashkuna wa mitandaoni. Ila mna moyo aisee.
Aibu kubwa kwa vibaraka na mabwana zenu, mikaratasi imprint wenyewe, msambaze wenyewe, mjikamate wenyewe na muharibu ushahidi kwa kuuchoma wenyewe, ushaona wapi kielelezo/ushahidi unachomwa moto? mbona hatuwaoni mlowakamata na hayo makaratasi? Pathetic...
Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
Acha vitisho. Kila mtu ana hakiHe better just shut up.
Burundi na SudanKwa sasa tupo kundi moja na nchi zinazotawaliwa kibabe kama Uganda na Rwanda, we need to fight to save our country from this mess.
Pongezi toka Uganda, Burundi, Rwanda na MalawiAsubiri tu pongezi kutoka kwa akina John Shibuda, John Cheyo, Augustino Mrema, Co.Ltd! Hawa ndiyo Mamluki hatari sana kwa mustakabari wa Demokrasia ya Nchi yetu.
Kuna malipo ya uovu. Hatuwezi kufanikiwa kama Taifa kama kuna uovu mahali .Bahati Mbaya sana hawa watu huwa wanajifanya wapiga dua wazuri. Ni wazugaji SAANA.Polisi wetu ni sehemu ya huu udhalimu. Jacob aliegombea Ubunge Ubungo kupitia CDM anasema alifanikiwa kumkamata jamaa akiwa na kura kibao tu na kumpeleka Polisi lakini kule alijibiwa kua wao Polisi hawahusiki na issues za kura, ni mambo ya tume, so Jamaa akaachiwa.
Mbona mwandiko sio wa Kachero mbobezi?
Watanzania wenzangu kuna barua inasaambaa kwenye mitandao ya jamii inayodai kwamba mimi nimempongeza Rais kwa ushindi wa Urais.Barua hiyo ni fake na ipuuzeni.
Kamwe siwezi kumpongeza kwa uchaguzi wa madudu kama huu. Sana sana nitamwandikia kumwomba ajiuzuru ili uchaguzi urudiwe-Bernard Membe kupitia twitter