Bernard Morrison apimwe akili na utimamu

Wanakuchukulia poa mkuu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndio maana manara alikimbia kule hakuna mwenye akiri timamu
Kaka yangu [mention]NAWATAFUNA [/mention] njoo huku[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa hiyo unasema Manara alikimbia machizi kule?
 
Yaani mtu yupo baharini anakula zake maisha halafu umkataze eti asipige picha wala kupost kuna ubaya gani hapo
Shida ni nguo ya kuogelea kuzama matakoni kijana mdogo wa kiume nadhani hapo ndipo tatizo lilipoanzia!
 
Aanze kupimwa manara kwanza akili maana mtu aliyetimamu hawezi kuwa vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…