adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli jamaa hamna kitu kichwani .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣
Manara alisema pale yanga wenye akili timamu ni wawili tu,Ndio maana manara alikimbia kule hakuna mwenye akiri timamu
Kaka yangu [mention]NAWATAFUNA [/mention] njoo huku[emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa kama chizi kawapiga yanga na wanasheria wao yupi anakua chizi zaidi?Uyo mpaka siku akimfata babra na magoli ofisini kwao akiwa uchi ndo watajua kuwa ni mwezi mchanga, Kama alivua nguo akabaki na chupi mbele ya mgeni rasmi kighoma na viongozi wake wakamkenulia meno tu bila kumfanya chochote unafikiri anaofia nini, acha wamlee atakuja kuwadhalilisha kwa matukio zaidi ya ayo
Kuna mwanaSimba ashawahi kuandika juu ya huyu kijana naona wengine hawastuki GENTAMYCINEKwa clip aliyoipost katika ukurasa wake wa Instagram, naziimba mamlaka za nchi hii zimpime akili kijana huyu maana tunaweza tukawa tunacheka na kufurahi kumbe tunampiteza mwenzetu! Apimwe kwa haraka..
GENTAMYCINE nikisema huwa namaanisha na nina uhakika Mkuu. Ni kweli nilishasema Siku moja hapa hapa JamiiForums kuwa Bernard Morrison ni 'Psychopath Case', ila nikaonekana Kituko au Zuzu fulani hata hivyo namshukuru Mwenyezi Mungu kuwa kile nilichokiona na Kikapuuzwa leo kinaonekana kwa wale waliokuwa wakinipuuza.Kuna mwanaSimba ashawahi kuandika juu ya huyu kijana naona wengine hawastuki GENTAMYCINE
🤣🤣🤣🤣🤣
Na kama kipo kitu kichwani basi huwa kinaingia na kutoka.Kweli jamaa hamna kitu kichwani .
Tena kwa raha zake, akitangaza Italii wa ndani?? 🤣 🤣Mamlaka za nchi zimchukulie hatua kwa kupost akiogelea baharini? 🤣🤣🤣🤣
hapo ni beach lakini,au mlitaka avae sutiUjue hadi nimecheka.
Hivi kwa kuangalia tu yuko sawa huyo?
manara amekimbilia kule alikosema wenye akili ni baba yake na rais mstaafuNdio maana manara alikimbia kule hakuna mwenye akiri timamu
Kaka yangu [mention]NAWATAFUNA [/mention] njoo huku[emoji16][emoji16][emoji16]
tangia amewashinda cas wamechanganyikiwahapo ni beach lakini,au mlitaka avae suti
Mamlaka za nchi zimchukulie hatua kwa kupost akiogelea baharini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]