Bernard Morrison atupa kijembe kwa uongozi wa Simba SC

Kina la KOLO.....linasadifu
 
Nilicho observe pale mpaka wao kuingia kibabe, ilikuwa ufahamu finyu wa lugha kwa wenzetu!
Sidhani kama lugha ni kiini cha hao jamaa kuingia kwa nguvu.
Huo ni uzembe tu wa hao walinzi.
Tatizo kubwa la watz ni kujiona wanyonge mbele ya wageni (inferiority complex) hata kama anajua kiingereza.
 
Halali south afrika walimpiga kiberiti huyu
 
Kama karudi Yanga waliofoji mkataba wake na wakapelekana hadi CAS na bado kuna wachezaji wanasaini Yanga sembuse hii ambayo hata yeye anajua kwamba ilikuwa nikutaka kuwaingiza simba mkenge ili wamlipe kwa kuvunjiwa mkataba ndiyo ifanye wachezaji wenye akili wakatae kusaini simba?
 
Manara ameajiriwa na GSM ....Bumbuli ameajiriwa na Yanga
Tazama press tano za mwisho za Yanga (usajili wa wachezaji, Nani Zaidi, usajili kidigitali wa washabiki, uzinduzi wa wimbo wa ubingwa), halafu uangalie kama utamuona Bumbuli au Manara
 
Uwanja wa taifa ? Taifa gani?
 
Huyu jamaa nidhamu yake ni mbovu ila ndani ya uwanja ana IQ kubwa ya kuusoma mchezo na kuamua mechi.
 
Kwahiyo mlitaka simba ndio ivunje mkataba wake na morrison?Kwanini asivunje yeye anayetaka kutoka kabla ya mkataba?Aendelee kutumikia mkataba wake mpaka mwisho.
 
Huku ni kujifariji tu.
Kiwango cha Morrison hata kwao ni wachache mno wanaweza kuwa nacho.
Tukubali Simba kuna shida kwenye menejimenti
 
Ni Tanzania pekee ndiyo kuna huu ujinga, pamoja na giesiemu kuisaidia timu,ila kuna upuuzi wanafanya si sawa na ni dharau kubwa Kwa mashabiki na Brand ya Yanga
 
Tatizo hamsikilizi habari mnaleta ushabiki tu morison analipwa mshahara na simba kama anataka kwenda yanga arudishe hela alizo kula bila kuzifanyia kazi mmesikia utopolo sio mnamsikiliza yule nguruwe pori tu.
 
Time will tell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…