Bernard Morrison atupa kijembe kwa uongozi wa Simba SC

Bernard Morrison atupa kijembe kwa uongozi wa Simba SC

Bernard ni mchezaji wa Mechi zisizozidi 10 Kwa msimu,anamambo mengi ya kipuuzi nje ya uwanja kuliko uwanjani,anajua namna ya kutafuta mkataba mpya tu......
Akiwa yanga.....alicheza mechi nying vizr
 
weee kubishana kwa kiingereza sio jambo rahisi aiseee muulize manara kule nigeria second round vs rivers utd alishindwa kabsa kubishana akaishiaaa kusemaaa what what what what ...... no no no no no what akamalizie na ohoooo timu aut (team out) hahahah
Dadaeqiiii[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom