Bernard Morrison

Bernard Morrison

Sibonike

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
17,296
Reaction score
18,027
Naona kuna juhudi kubwa za wana Mikia kuona BM anatimuliwa Yanga ili waokote dodo.

Ni kweli BM ni chizi kabisa, lakini Mikia na yeye mwenyewe wajue dili la kujiunga na Mikia watalisikia redioni tu.

Labda wajisalimishe kwa Wananchi ili mauzo yafanyike kwa mujibu wa taratibu. Vinginevyo, ana miaka miwili ya kusota na kukatwa mshahara kila wakati.

Aliamua kucheza chini ya kiwango ili kuiprovoke Yanga. It won't work!
 
Kweli mkiwa hamna ela mnateseka sana, Yanga mnalamba miguu Morison?, mngekuwa na pesa mngesajili ata chama, Ronald, Messi, okwi sio kukaa mnalia lia na Morison mwizi wa magari
 
Kweli mkiwa hamna ela mnateseka sana, Yanga mnalamba miguu Morison?, mngekuwa na pesa mngesajili ata chama, Ronald, Messi, okwi sio kukaa mnalia lia na Morison mwizi wa magari
Labda ndiyo maana mnataka. Aje akutane na mwizi/tapeli wa magari Mzungu pori.
 
Ana kiwango cha AS Vita.
Upo sawa kabisa

Simba hatuwez kua namchezaji wa namna hii uyo level zake ni mbao Fc na utopolon full stop
255768473319_status_d8dd94cd14fd47b5a295c9d623dc786f.jpg
255768473319_status_d8dd94cd14fd47b5a295c9d623dc786f.jpg
 
Back
Top Bottom