Bernard Morrison

Bernard Morrison

Naona kuna juhudi kubwa za wana Mikia kuona BM anatimuliwa Yanga ili waokote dodo.

Ni kweli BM ni chizi kabisa, lakini Mikia na yeye mwenyewe wajue dili la kujiunga na Mikia watalisikia redioni tu.

Labda wajisalimishe kwa Wananchi ili mauzo yafanyike kwa mujibu wa taratibu. Vinginevyo, ana miaka miwili ya kusota na kukatwa mshahara kila wakati.

Aliamua kucheza chini ya kiwango ili kuiprovoke Yanga. It won't work!
mimi shabiki wa yanga lakini huyo Morrison ni mchezaji wa kawaida sana tena sana hana kiwango hata cha kumgusa mapinduzi balama, ila ushamba wa mashabiki wa yanga, viongozi na huyo sijui msemaji wa yanga au gsm hata haijulikani ndo vimemfanya huyo morrison avimbe na kudharau klabu yetu kubwa, nasisitiza kwa sasa yanga ina viongozi washamba, wahovyo, hawajielewi, wapowapo tu yaani nakosa hata maneno mengine ya kusema ila Yanga katika awamu hii ina viongozi wa hovyoooo kabisa kuliko wakati wowote tangu ianzishwe hii timu.
 
Simba hawana mchezaji wa kiwango Cha Morrison. Ukiacha matatizo yake ya nje ya Uwanja Morrison si mchezaji wa kucheza soka katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Timu mzima ya Simba pamoja na Mwekezaji wao wote wanamwogopa Morrson, ilibidi Kapombe apigwe masindano ya ganzi ili arudi uwanjani kwa kumhofia Morrison.
sasa kama ameshindwa kufanya lolote mbele ya kapombe aiyechomwa masindano ya ganzi unasemaje mchezaji hatari?
 
NIMESOMA JANA HABARI kwa nini kocha wa orlando pirates alimuacha, ukiachilia mbali tukio la wizi wa magari, jamaa alichezea pirates mechi 4 tu kuna siku akajiangusha uwanjani bila kuchezewa rafu kocha mturuki kwa hasira akamtoa nje kabisa na tangu siku hiyo hakupangwa tena..kocha baadaye akasema jamaa ni mzuri kwa game la show off na akiwa na mpira ila kama hana mpira hana msaada kwa team hata kukaba hajui ndicho kilichotokea juzi
ulichokisoma naalichosema huyo kocha ni kweli kweli kabisa jamaa hamnakitu, Yanga tunashangilia akipanda juu ya mpira wakati hata ngassa alivyokuwa katika ubora wake alipanda pia.
 
Nimetenganisha vitu viwili. Talent na Attitude.

La kwanza ni maoni ya kila mtu. Unaweza kuona talent lakini mwingine anaona average player. Attitude haina mjadala.

Combination ya talent na proper attitude humfanya mchezaji kuwa bora.

Tusisanganye. Mikia wanamtaka by hooks and crooks. Wanadhani watamudu attitude yake.
Mwaka huu lazima muwe wachambuzi maana 4G imewachanganya akili
 
The Ghanaian was announced as a new signing at Chippa United in July, after officially parting ways with Orlando Pirates. However, Chippa’s announcement was denied by Morrison, with the midfielder describing it as ‘fake news’ and rejected the move to the Port Elizabeth outfit. It has since been confirmed that Morrison has joined DRC Ligue 1 outfit, DC Motema Pembe on a free transfer, according to GHANASoccernet.com. Morrison played in DRC with for AS Vita Club before his move to Pirates in 2016.

Jamaa hajaanza leo kuikana mikataba aliyoingia
 
mimi shabiki wa yanga lakini huyo Morrison ni mchezaji wa kawaida sana tena sana hana kiwango hata cha kumgusa mapinduzi balama, ila ushamba wa mashabiki wa yanga, viongozi na huyo sijui msemaji wa yanga au gsm hata haijulikani ndo vimemfanya huyo morrison avimbe na kudharau klabu yetu kubwa, nasisitiza kwa sasa yanga ina viongozi washamba, wahovyo, hawajielewi, wapowapo tu yaani nakosa hata maneno mengine ya kusema ila Yanga katika awamu hii ina viongozi wa hovyoooo kabisa kuliko wakati wowote tangu ianzishwe hii timu.
Opinion kuhusu ubora wa mchezaji siku zote ni mawazo ya mtu binafsi.

Moja atamwona hivi na mwingine vile. Hili lisitupotezee muda. Kila mtu ahashimu la mwingine. La nidhamu halina mjadala.
 
Naona kuna juhudi kubwa za wana Mikia kuona BM anatimuliwa Yanga ili waokote dodo.

Ni kweli BM ni chizi kabisa, lakini Mikia na yeye mwenyewe wajue dili la kujiunga na Mikia watalisikia redioni tu.

Labda wajisalimishe kwa Wananchi ili mauzo yafanyike kwa mujibu wa taratibu. Vinginevyo, ana miaka miwili ya kusota na kukatwa mshahara kila wakati.

Aliamua kucheza chini ya kiwango ili kuiprovoke Yanga. It won't work!
Hii series tunasubiri mwisho wake
IMG-20200714-WA0041.jpg
 
Kuna waghana walichezea Simba wakaondoka vizuri, azam wana waghana pia hamna tatizo ila vichekesho kama hivyo utavikuta utopolo tu
Asamoah alikuwa Yanga na hakuwa na upuuzi huo.
Unasemaje kwa AS Vita, Orlando Pirates? Reason first!
 
Kama Morrison sio mkali kwa apa bongo, Sasa waliobaki utasemaje? Morrison ni mkali kwakua bongo wachezaji wetu ni wakawaida sana. Morrison anatabia mbovu Ila mpira wake ni mkubwa kuliko wachezaji wengi. Kwa namba anayocheza apa TZ yeye ni mkali. Labda angerudi Lunyamila ndiye angemweka nje Morrison Ila kwa kizazi hiki atawaburuza sana.
Huyu Mwizi pale Simba anacheza namba ya nani kwa mfano?[emoji23][emoji23]
 
Nimetenganisha vitu viwili. Talent na Attitude.

La kwanza ni maoni ya kila mtu. Unaweza kuona talent lakini mwingine anaona average player. Attitude haina mjadala.

Combination ya talent na proper attitude humfanya mchezaji kuwa bora.

Tusisanganye. Mikia wanamtaka by hooks and crooks. Wanadhani watamudu attitude yake.
Simba haina mpango wa kusajiri huyo kibaka,
Msemaji wa mabingwa wa nchi leo katoa tamko kuwa hakuna usajiri utakaofanywa katika nafasi ya kiungo kwa sababu Simba Sports Club ina wachezaji wengi katika eneo hilo ambao ni wazuri mara kumi ya huyo kibaka,
Hata Ajib alikuwa tegemeo hapo Utopolo na aliwachachafya kama anavyowachachafya huyu Ndevu za Karantini lakini amekuja Simba anasubiri,

Uto pambaneni na hali yenu kwa sasa mjenge timu yenu sio kutafuta visababu visivyo vya msingi.
 
Mikia wameshinda uwanjani wana haki ya kusema,lkn walichofanya huko nje ya uwanja kwa baadhi ya wachezaji wa Yanga akiwemo huyo morrison ni hatari,ila watu wameamua kukaa kimya sababu jamaa ndio washashinda
Tulia dawa ikuingie
 
Hii series tunasubiri mwisho wakeView attachment 1506359
Huyu jamaa asipoangalia ataachwa na yanga na simba pia ikampotezea,halafu akakosa nauli ya kurudi na akaanza mambo yake ya uwizi .

Mchezaji anamtishia mlinzi wa kambi na mwiko wa chuma,anabembelezwa na anachagua mechi ya kucheza,Kwa jicho lingine yanga walifanya la maana kumpa mkataba wa miezi 6,imagine kwa tabia zake hizo angesinya mkataba wa miaka miwili halafu achague mechi anayotaka na injury za visingizio au kuumwa.

Huyu Morison hafai kama ni mfupa haufai hata kwa supu,na msimwone ni mjinga kiasi hicho ,huyu jamaa inawezekana ana mishe zake za siri hapa bongo si kwa kujiamini kiasi hicho mbona kina Asante Nkwasi walikuwa na nidhamu na waliondoka mikono safi.

Mchezaji yuko ugenini anakimbia mechi ikiendelea anachukua bodaboda,huyu jamaa anajua chocho za bongo vizuri ,huyu jamaa ana mambo yake mbali na soka hawezi kuchezea chance kiasi hicho
 
Back
Top Bottom