Bernard Morrison

Bernard Morrison

Huyu jamaa asipoangalia ataachwa na yanga na simba pia ikampotezea,halafu akakosa nauli ya kurudi na akaanza mambo yake ya uwizi .

Mchezaji anamtishia mlinzi wa kambi na mwiko wa chuma,anabembelezwa na anachagua mechi ya kucheza,Kwa jicho lingine yanga walifanya la maana kumpa mkataba wa miezi 6,imagine kwa tabia zake hizo angesinya mkataba wa miaka miwili halafu achague mechi anayotaka na injury za visingizio au kuumwa.

Huyu Morison hafai kama ni mfupa haufai hata kwa supu,na msimwone ni mjinga kiasi hicho ,huyu jamaa inawezekana ana mishe zake za siri hapa bongo si kwa kujiamini kiasi hicho mbona kina Asante Nkwasi walikuwa na nidhamu na waliondoka mikono safi.

Mchezaji yuko ugenini anakimbia mechi ikiendelea anachukua bodaboda,huyu jamaa anajua chocho za bongo vizuri ,huyu jamaa ana mambo yake mbali na soka hawezi kuchezea chance kiasi hicho
Tushatoa angalizo kwa uongozi wa Yanga wamrudishe walikomtoa lasivyo akikamatwa ameiba basi Yanga tutawaitia Simba
 
Naangalia marudio ya game ya junzi Simba punguzeni draft yaan wachezaji wa Yanga wanapiga sarakasi na tichi mkononi kuutafuta mpira
 
[emoji38]
20200715_162141.jpeg
 
Sio tusiwe, sema usiwe bwege.
Unashindwa kung'amua vitu vidogo sana.
Hakuna shaka kwamba Morrison is such a talented player.

Tatizo ni tabia zake. Kucheza ligi ya DRC na Sauz kwenye top tier teams si rahisi kwa average player. Punguza ukilaza fuatilia mpira kwa akili.
Talent bila nidhamu hakuna kitu, huyo ni mhuni kama wahuni wengine tu mitaaani hana sifa ya kuchezea Simba, huyo level yake ni huko utopolo tu ndiyo maana mnahangaika na tungo za kipuuzi kuhusu huyu kibaka. Imekula kwenu, mtacheza ndondo hadi mkome, hata Namungo anawashinda!!
 
Naona kuna juhudi kubwa za wana Mikia kuona BM anatimuliwa Yanga ili waokote dodo.

Ni kweli BM ni chizi kabisa, lakini Mikia na yeye mwenyewe wajue dili la kujiunga na Mikia watalisikia redioni tu.

Labda wajisalimishe kwa Wananchi ili mauzo yafanyike kwa mujibu wa taratibu. Vinginevyo, ana miaka miwili ya kusota na kukatwa mshahara kila wakati.

Aliamua kucheza chini ya kiwango ili kuiprovoke Yanga. It won't work!
Kiwewe cha goli nne kinakusumbua na bado awamu hii utapigqa 8 ni suala la muda tuuu
 
Kiwewe cha goli nne kinakusumbua na bado awamu hii utapigqa 8 ni suala la muda tuuu
Tutaanza kujadili mkipata mataji ya ubingwa sawa na Yanga.
Sasa hivi ni total wastage of our precious time kwa sisi wana Yanga.

Ni sawa na pale EPL. Kuna vidume wawili tu. Man United na Liverpool. Humo haingii Arsenal wala Man City.
 
Tutaanza kujadili mkipata mataji ya ubingwa sawa na Yanga.
Sasa hivi ni total wastage of our precious time kwa sisi wana Yanga.

Ni sawa na pale EPL. Kuna vidume wawili tu. Man United na Liverpool. Humo haingii Arsenal wala Man City.
Acha kutuletea historia hapa wewe takataka
 
Back
Top Bottom