Hahahahha, ati alipanda boda badala ya mpira, Yanga na Morison wao wanalo mpaka 4G isahaulikeJana alishindwa kupanda mpira akapanda boda boda, teh teh!
Vyura mkisikia jina la "Chama" mnajamba...
Yaan ukitoa "First Eleven" mbili za Simba, wale wanaobaki still Morrison hapati number kwao.Morrison hana kiwango cha kuichezea Simba.
Labda ndiyo maana mnataka. Aje akutane na mwizi/tapeli wa magari Mzungu pori.Kweli mkiwa hamna ela mnateseka sana, Yanga mnalamba miguu Morison?, mngekuwa na pesa mngesajili ata chama, Ronald, Messi, okwi sio kukaa mnalia lia na Morison mwizi wa magari
Ana kiwango cha AS Vita.
Upo sawa kabisa
hakuna wajinga ni kumhadaa ili asiconcetrate na mechi ya watani.Lakini kuna wajinga wanaliwa hela huko Mikia.