Simba hatuwez kua namchezaji wa namna hii uyo level zake ni mbao Fc na utopolon full stopView attachment 1505909View attachment 1505909
Ndio kiwango chake na cha Yanga, acheni kujificha kwenye kichaka cha Morison, mmepigwa 4GAliamua kucheza chini ya kiwango ili kuiprovoke Yanga. It won't work!
Kwanza hazituhusu, 4G ndio habar ya mjini kwa sasahakuna wajinga ni kumhadaa ili asiconcetrate na mechi ya watani.
Tuzungumzie mambo ya 4G hizo habari za morison hazinogi sasa hivi
Naona kuna juhudi kubwa za wana Mikia kuona BM anatimuliwa Yanga ili waokote dodo.
Ni kweli BM ni chizi kabisa, lakini Mikia na yeye mwenyewe wajue dili la kujiunga na Mikia watalisikia redioni tu.
Labda wajisalimishe kwa Wananchi ili mauzo yafanyike kwa mujibu wa taratibu. Vinginevyo, ana miaka miwili ya kusota na kukatwa mshahara kila wakati.
Aliamua kucheza chini ya kiwango ili kuiprovoke Yanga. It won't work!
Watu Wanaocheza Karata Huwa Wanaita Nini Hii ♧Ilo garasa halina namba simba msitafute sababu za kutusaulisha 4G
Acha Waendelee KufarakanaKwanza hazituhusu, 4G ndio habar ya mjini kwa sasa
Sio tusiwe, sema usiwe bwege.Unatuabisha Yanga.mwishoni wote tutaonekana vilaza kama wewe.morrison ana mpira wa kawaida.tulimkuza wenyewe....kusema simba wanampa pesa ni njia ya kutupiga pesa alishafaham mbinu za kuzipiga pesa simba na yanga...tusiwe mabwege
Niambie impact aliyoleta morison mechi ya juzi,ndo maana anawapelekesha maana mnampa sifa nyingi wakati ni garasa tuSimba hawana mchezaji wa kiwango Cha Morrison. Ukiacha matatizo yake ya nje ya Uwanja Morrison si mchezaji wa kucheza soka katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Timu mzima ya Simba pamoja na Mwekezaji wao wote wanamwogopa Morrson, ilibidi Kapombe apigwe masindano ya ganzi ili arudi uwanjani kwa kumhofia Morrison.
Unapata wapi nguvu ya kutype na kupost mapema hivi?Naona kuna juhudi kubwa za wana Mikia kuona BM anatimuliwa Yanga ili waokote dodo.
Ni kweli BM ni chizi kabisa, lakini Mikia na yeye mwenyewe wajue dili la kujiunga na Mikia watalisikia redioni tu.
Labda wajisalimishe kwa Wananchi ili mauzo yafanyike kwa mujibu wa taratibu. Vinginevyo, ana miaka miwili ya kusota na kukatwa mshahara kila wakati.
Aliamua kucheza chini ya kiwango ili kuiprovoke Yanga. It won't work!
Kwa mtu anayejua mpira BM siyo mkali kihivyo....ila alipanda dau baada ya kubahatisha kuifunga Simba na zile mbwe mbwe zake mbili tatu za chenga....lakini nina uhakika hawezi kuendelea kushine akiwa Yanga au kwa MikiaNaona kuna juhudi kubwa za wana Mikia kuona BM anatimuliwa Yanga ili waokote dodo.
Ni kweli BM ni chizi kabisa, lakini Mikia na yeye mwenyewe wajue dili la kujiunga na Mikia watalisikia redioni tu.
Labda wajisalimishe kwa Wananchi ili mauzo yafanyike kwa mujibu wa taratibu. Vinginevyo, ana miaka miwili ya kusota na kukatwa mshahara kila wakati.
Aliamua kucheza chini ya kiwango ili kuiprovoke Yanga. It won't work!
Sio tusiwe, sema usiwe bwege.
Unashindwa kung'amua vitu vidogo sana.
Hakuna shaka kwamba Morrison is such a talented player.
Tatizo ni tabia zake. Kucheza ligi ya DRC na Sauz kwenye top tier teams si rahisi kwa average player. Punguza ukilaza fuatilia mpira kwa akili.
Simba hawana mchezaji wa kiwango Cha Morrison. Ukiacha matatizo yake ya nje ya Uwanja Morrison si mchezaji wa kucheza soka katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Timu mzima ya Simba pamoja na Mwekezaji wao wote wanamwogopa Morrson, ilibidi Kapombe apigwe masindano ya ganzi ili arudi uwanjani kwa kumhofia Morrison.
Nimetenganisha vitu viwili. Talent na Attitude.Mchezaji mahiri asingekuja kusajiliwa Yanga akalipwa milion 60. Hamna hicho kitu. Morrison anatutesa Yanga sbabu ashatujua mabwege. Hamna kitu pale... Unadhani angekuwa that talented angekuwa bongo anadandia boda boda na kula ugali kwa kachumbari? Nyie ndo mnamfanya mpaka awapande na nyie sasa.....
Mikia wameshinda uwanjani wana haki ya kusema,lkn walichofanya huko nje ya uwanja kwa baadhi ya wachezaji wa Yanga akiwemo huyo morrison ni hatari,ila watu wameamua kukaa kimya sababu jamaa ndio washashindaSimba hawana mchezaji wa kiwango Cha Morrison. Ukiacha matatizo yake ya nje ya Uwanja Morrison si mchezaji wa kucheza soka katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Timu mzima ya Simba pamoja na Mwekezaji wao wote wanamwogopa Morrson, ilibidi Kapombe apigwe masindano ya ganzi ili arudi uwanjani kwa kumhofia Morrison.
NIMESOMA JANA HABARI kwa nini kocha wa orlando pirates alimuacha, ukiachilia mbali tukio la wizi wa magari, jamaa alichezea pirates mechi 4 tu kuna siku akajiangusha uwanjani bila kuchezewa rafu kocha mturuki kwa hasira akamtoa nje kabisa na tangu siku hiyo hakupangwa tena..kocha baadaye akasema jamaa ni mzuri kwa game la show off na akiwa na mpira ila kama hana mpira hana msaada kwa team hata kukaba hajui ndicho kilichotokea juziNdio kiwango chake na cha Yanga, acheni kujificha kwenye kichaka cha Morison, mmepigwa 4G