mimi shabiki wa yanga lakini huyo Morrison ni mchezaji wa kawaida sana tena sana hana kiwango hata cha kumgusa mapinduzi balama, ila ushamba wa mashabiki wa yanga, viongozi na huyo sijui msemaji wa yanga au gsm hata haijulikani ndo vimemfanya huyo morrison avimbe na kudharau klabu yetu kubwa, nasisitiza kwa sasa yanga ina viongozi washamba, wahovyo, hawajielewi, wapowapo tu yaani nakosa hata maneno mengine ya kusema ila Yanga katika awamu hii ina viongozi wa hovyoooo kabisa kuliko wakati wowote tangu ianzishwe hii timu.