BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
​Okay chukuchuku ni supu, shukrani.
Vyote vyote na mchuzi wenyewe uwe chukuchuku sio rosti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote vyote na mchuzi wenyewe uwe chukuchuku sio rosti
​Okay chukuchuku ni supu, shukrani.
Hahahaaaa. Ll.
N seriously mwaya anddazi kwangu lisiwe na nyama ndani alafu softiiii. Acha tu.
Likiwa na nyama bado halijanivutia.
Ya Mombasa unayajua weye?
Nimezimis tosi jamani ile smell yake nzuri acha tu ukienda pemba zawadi plz na halua ya mkebe lol
Sio halua ya mkebe, sema 'nkebe'. Lol
ahsante sana kwa recipe.
majuzi nilipika vitumbua vya nyama ya kusaga ukweli nilijaribu kidogo na vilitoka vitamu sana ikawa kesi kwa vifua chuma wangu manake wao ni full appetite hasa kwa menu mpya na tamu............nimeahidi kurudia this wk end hope nitaandaa na haya mandazi watafurahia zaidi
Love mi nataka jaribu ya maziwa kesho
Kila la kheir[/Q
Afu nataka kujaribu roast kuku kwa nazi na mayai ya kuchemsha.
Jana nlichoka hata sijapika nimeagiza kuku asa nkitoka job full uchovu looo
Kila la kheir[/Q
Afu nataka kujaribu roast kuku kwa nazi na mayai ya kuchemsha.
Jana nlichoka hata sijapika nimeagiza kuku asa nkitoka job full uchovu looo
Ungekua huna haraka saana kuna recipe ya kuku unaweka nazi na vikorobwezo vengine ningekupa right now ila ntaweka kwa faida ya wengine