best maandazi recipe

best maandazi recipe

Best umesahau kuweka hatua ya kuchanganya hamira. mdogo wangu Eiyer atapika bila kutia hamira hapo lol. na utukumbushe kuweka samli ya moto kabla hatujaweka hamira kusudi isife nguvu.

asante mamito, hadi likizo iishe mmh! maandazi na mie huwa nashibia jikoni, lol

Unataka nipike?
 
Wapendwa leo niliandaa maandazi matamu balaa haya nlitumia hivi vipimo....jaribu na wewe uje uniambie kama hutashibia jikoni

Mahitaji

Unga kg 1

Sukari robo ila usijae

Samli 5 tablespoon + I tablespoon ya siagi (unaweka kwa sufuria inakua yamoto) siagi ni kwa ajili ya ladha nzur zaid

Hiliki 1teaspoon

Tui la nazi

Yai 1

Hamira 1 tablespoon

Mafuta ya kukaangia maandaz


Namna ya kutaarisha

Kwanza kabisa weka tui robo kikombe add sukar 1tablespoon na hamira (hiki ni hatua ya kuumua hamira na kuitizama kama bado ipo active ili usije haribu upishi wako kama itakua imeshapita mda) itafanya bubbles kwahiyo bado ipo active

Weka unga changanya na sukar na hiliki...changanya vizur

Mimina samli yamoto kiasi kwenye unga..changanya kwa mikono safi

Mimina hamira ulioumua

Weka yai then tui

Kanda hadi iwe laini...

Subiria 30 minutes iumuke

Katakata maandfazi yako

Acha yaumuke

Weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi yawe brown..

Maandazi tayar kwa kuliwa.

attachment.php
 
Hivi samli haya mafuta yapo tena DSM! ? mkuu fakhina kama usipopata samli mbadala yake ni mafuta gani?
 
Hivi samli haya mafuta yapo tena DSM! ? mkuu fakhina kama usipopata samli mbadala yake ni mafuta gani?


Samli mbona zipo....mbadala wa samli ni mafuta yoyote ya kula
 
Wapendwa leo niliandaa maandazi matamu balaa haya nlitumia hivi vipimo....jaribu na wewe uje uniambie kama hutashibia jikoni

Mahitaji

Unga kg 1

Sukari robo ila usijae

Samli 5 tablespoon + I tablespoon ya siagi (unaweka kwa sufuria inakua yamoto) siagi ni kwa ajili ya ladha nzur zaid

Hiliki 1teaspoon

Tui la nazi

Yai 1

Hamira 1 tablespoon

Mafuta ya kukaangia maandaz


Namna ya kutaarisha

Kwanza kabisa weka tui robo kikombe add sukar 1tablespoon na hamira (hiki ni hatua ya kuumua hamira na kuitizama kama bado ipo active ili usije haribu upishi wako kama itakua imeshapita mda) itafanya bubbles kwahiyo bado ipo active

Weka unga changanya na sukar na hiliki...changanya vizur

Mimina samli yamoto kiasi kwenye unga..changanya kwa mikono safi

Mimina hamira ulioumua

Weka yai then tui

Kanda hadi iwe laini...

Subiria 30 minutes iumuke

Katakata maandfazi yako

Acha yaumuke

Weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi yawe brown..

Maandazi tayar kwa kuliwa.

duh! nayaemagine yalivyo matamuuuu
 
Asante sana maandazi yalikua yananipa taabu sana kwani nikipika huwa napenda yawe laini lkn sivyo inavyokua . Ngoja nirekebishe.
 
Kuongezea ukitaka upate andazi zuri hata usipotia yai tia tui zito la nazi tazama unga wako ukiwa mgumu andazi linakuwa halfcake uwe kiasi laini
 

Attachments

  • Toronto-20140514-01967.jpg
    Toronto-20140514-01967.jpg
    424.3 KB · Views: 214
Back
Top Bottom