Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Best umesahau kuweka hatua ya kuchanganya hamira. mdogo wangu Eiyer atapika bila kutia hamira hapo lol. na utukumbushe kuweka samli ya moto kabla hatujaweka hamira kusudi isife nguvu.
asante mamito, hadi likizo iishe mmh! maandazi na mie huwa nashibia jikoni, lol
Unataka nipike?