Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Salaam wanaJF,
Kuna msanii mwenye kipaji cha hali ya juu lakini hana bahati, hapa namaanisha kuwa nyimbo zake hazichezwi sana redioni wala kwenye TV. Lakini ukiangalia nyimbo zake Zina ujumbe mzuri na muziki mzuri kwa ujumla.
Sijui kwanini huwezi msikia kwenye tuzo wala show mbalimbali, sasa labda sijui shida iko wapi, hana management au nini?
Waungwana naomba tusaidie kumshauri..
Kuna msanii mwenye kipaji cha hali ya juu lakini hana bahati, hapa namaanisha kuwa nyimbo zake hazichezwi sana redioni wala kwenye TV. Lakini ukiangalia nyimbo zake Zina ujumbe mzuri na muziki mzuri kwa ujumla.
Sijui kwanini huwezi msikia kwenye tuzo wala show mbalimbali, sasa labda sijui shida iko wapi, hana management au nini?
Waungwana naomba tusaidie kumshauri..