Best Quote: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

FMES,
Nakuhakikishia mimi sio Koba wala nani. Ni Nzokanhyilu.
Kwa jinsi ulivyoeleza, ina maana basi katika politics za Tanzania ni rahisi sana kumchafua mtu kwa kumwiita 'opportunist'. Kama character assasination ni rahisi hivyo, basi siasa ya Tanzania bado changa sana (na opportunist wamejaa pande zote CCM na Upinzani). Hata mimi nitokaye shule ya 'english', itachukua zaidi ya sentensi mbili kum-judge huyo Anna Kilango. Ila umemtetea hadi inaonekana kama ndugu yako, na hukuhitaji kuwa emotional and nitty-gritty to be convincing.

Nadhani, jumatatu sio mbali, tuone reshuffle, proxy-appointments, hapo ndio tutaweza kuona nani alisema nini na kapata nini, na atafanya nini miezi ijayo (hapo ndio tutajua opportunist ni kina nani). Kwa hapo sio lazima nitoke shule ya 'Siasa' kuelewa huo ndio mchezo wa siasa. Ni rahisi sana kusema kitu ambacho watu wanataka kusikia.

As far as Lowassa is concerned, mimi naona kuachia u-PM ni kama kakwata mkono mmoja tu. Sidhani kama Tanzania iko tayari kwa domino effect, na hii itaonekana kwenye uteuzi wa baraza la mawaziri. Bado Lowassa hajaguswa.
 

Mkuu hao Maprofessor, Madaktari walioko bungeni na hawawezi kuwasema mAFISADI na wala hawawezi kuwasemea wanchi wao eti wanaogopa akina Karamagi na Rostam Azizi inabidi tuanze kuwashambulia na kushawishi wananchi wao wawateme.

Wale wanaojulikana tunatakiwa tuanze kuwasema hapa hapa. Wakwanza aliyeko Benchi na hataki kusema lolote ni Professor Sarungi ambaye sijui kama bado anaudhulia vikao vya bunge. Halafu JK inabidi ahache mtindo wa kuchagua wabunge kuwa wakuu wa mikoa. Mfano wale wakuu wa mikoa wote wamepoteza michango yao bungeni na sijui kama wanahudhulia vikao vya bunge.

Hivi akina Dr. Msekela na wenzake wanakwenda Bungeni kweli?
 

AHSANTE SANA MH FIELD MARSHALL ES, NADHANI MKUKI UMEMCHOMA BINADAMU NDIYO MAANA KELELE ZIMEKUWA NYINGI NA MAELEZO MAREFU YA KUJIKANYAGA KAMA EL. KUMBUKA SIKU ZOTE JIBU SWALI ULILOULIZWA NA KAMA HUELEWI ULIZA UPATE UFAFANUZI.
MIMI SINA HAJA YA KWENDA KWENYE MITUNDIKO YAKO MAANA UMEANDIKA NA MENGINE AMBAYO HATA HUJAULIZWA.
LAKINI SASA NINAKUULIZA BAADA YA KUKUNUKUU HAPA CHINI

nia na madhumuni yangu ilikuwa kumuonyehsa mkuu Pundamilia, kuwa hamfahamu huyu mama Kiongozi, na kwamba huyu mama sio opportunist, na wala hana tabia mbaya kabla na baada ya kuolewa katika ndoa zake mbili

NITAJIE JINA LA RAFIKI YAKE ANNA KILANGO AMBAYE ALIKUWA MCHUMBA WAKE CHARLES NYANGE?
 

And how is this relevant to the issues at hand? I am not interested in personal lifes.Kina Zitto Slaa Kikwete na viongozi karibu wote wana mambo yao embarassing.Lakini tukisema kiongozi hafai kwa sababu alimchukua mke wa mwenzake inakuwa kuingilia maisha binafsi ya mtu.

We need every soldier we can get in the fight against corruption.If these alleged personal shenanigans are the worst we can come up against Mama then the case against her is weak indeed.
 
field Marshall Es
hawa Watu Wengine Wanaitaji Maombi,,kama Mnakumbuka
niliwaambia Hapo Nyuma Kwamba Jamani Tujitahidi Kufanya Mamombi
kila Mtu Na Dini Yake Mungu Anakwenda Kufungua Milango Mingi Sana
na Kila Uchafu Unaofanyika Serikalini Utafumuka ..nafikiri Sasa Watuwanaona Si Binadamu Ni Maombi Ya Wenye Haki Na Hakika Dhambi Na Umaskini Wa Wenye Haki Autawaacha,,hivyo Hivyo Nawashauri Tujitahidi Kuwaombea Mungu Wale Member Wote Walio Kinyume Na Mapenzi Ya Mungu""sauti Ya Wengi Sauti Ya Mungu""tumsamehe Ndugu Yetu Pundamilia Si Kosa Lake,,labda Ana Mambo Yake Binafsi Na Mama..,
na Tatizo Hata Mkimweleza Mama Alisema Nini Hawezi Jibu Hata Maramoja,,,zaidi Ya Kuona Hapa Jf Kiushabiki,,,kwa Msaada Wenu Tutoe Maoni Kwa Uhakiki..huyu Mzinzi Leta Picha Alikugaia,,huyu Fisadi Tushushie A/c Namba Yake Na Bank Name Tuingie Front Kutafuta Figure,,haya Ndio Mambo Ya Kuifundishana,,pundamilia Ukatazwi Kutoa Maoni Welcome Ma Br/sis.....
jf For All
 
Wakuu Mafish na Pundit,

Shukrani kwa kusimamia hoja, mkuu Punda, tulijua kuwa Lowassa hataondoka hivi hivi na tulisema toka juzi kuwa atajaribu kila njia kuondoka na wengi, lakini amepiga mwamba na haijui vizuri CCM subiri uone yanayomjia, siwezi kupoteza muda wangu na wa wananchi kujadili none-ishus, isipokuwa kama una ishu ya siasa na mama anytime mkuu, nipo.

Ahsante Mkuu!
 
mkuu Fm-es,pundit


********ushindi ----------lazima**************

byebye
 
WAKUU

FIELD MARSHALL,,NAFIKIRI LAZIMA TUPIGANE MAPEMA KABLA HAWAJATUMALIZA
HAWA WATU KUNA MAMBO MENGI TU YA KUFANYIA KZI JAMANI NIMEANDIKA THREAD JANA NAONA SIJAIONA,..........
HAWA WAHUSIKA AMBAO WAMETAJWA TUNAOMBA JK USOMAPO THREAD HII WAWE WAMESHAADABISHWA,,NA JE HIZI PESA ZINAENDELEA KUTOKA,,NA KAMA NDIO MPAKA LINI VINGINEVYOO MAMA KILANGO NA WENZAKE UTAKUWA UJAWATENDEA HAKI KAMA WANALIA BUNGENI WATU WENYE WAUME ZAO UMO NDANI NA HAKUNA REACTION INAYOFANYIKA,,,NIMESOMA GAZETI MOJA HUYU PUMBAVU MWANMASHERIA MKUU ANAAJITANGAZA"""MIMI BADO MWANASHERIA MKUU""""ANI***i WA KIZAN56^^^&I.....

NA JE ZILE PESA WATELEZE ZITARUDIJE,,,SWALA LA KUJIUZULU INAONEKANA TUSHASHINDA HAPA WANANDUGU NA KWA TAARIFA WANAKUJA WENGI TU,,,BADO KICHWA YANGU YAUMA JE ACTION ZA ZIADA ZITAFANYIKA IKIWEMO KUFREEZE MALI ZAO NA KAMA POSSIBLE HATA WAKE ZAO,,,,,,NA KURUDISHA ZILIZOCHUKULIWA....

NAKUMBUKA NIKIWA BIKIRA WA JF KIPINDI HICHO SIUJUI HATA KUTONGOZA NILIONA MENGII KUHUSU SUMAYE.....EX WAZIRI MKUU..MARA WAMEFREEZE PESA ZAKE ,,,MARA HOTEL YAKE IMECHUKULIWA NA SERIKALI,,MARAA...MPAKA SASA HAKUNA KILICHOFANYIKA...MI NAASHAURI
HAWA HAWA WAPEWE KAZI YA KUCHUNGUZA....NA KUTUPA TAARIFA MAPEMA

1)) TICTS.....KULE KONTENA BANDARINI...HUYU KARAMAGI AMEITAFUNA KILA KONA HII NCHI...WAKACHUNGUZE WQALIPATAJE MKATABA ULE...NA KWANINI WAMEONGEZEWA MIAKA KUMINATANO((15)..JAMANI HAPA NDIO NAHISI MDOGO WANGU ATAKUWA ANATOLEA BIKIRA...HII NI DHAMBI

2)) IPTL

3))NAOMBA LIST ILIOBAKIA JAMANI......TUWASHE MOTO......
 
As far as Lowassa is concerned, mimi naona kuachia u-PM ni kama kakwata mkono mmoja tu. Sidhani kama Tanzania iko tayari kwa domino effect, na hii itaonekana kwenye uteuzi wa baraza la mawaziri. Bado Lowassa hajaguswa.

Mkuu haya mapambano yalianza toka siku zile za Zitto, na Dr. Slaaa, kuna tuliosema kuwa sasa hakuna kuangalia nyuma tena kwenye haya mapambano ambayo mkuu MMJ, anayaita ni ya kifikra, since then:-

Tumejionea moto mkali wa wananchi ulivyoichoma BOT, viongozi kuanza kulaumiana mbele ya umma, viongozi wetu uchwara kuzomewa na wananchi, kamati za madini na Richmonduli kuundwa, Balali kuondoka nchi yake mwenyewe na bado tunamsubiri ili tumkome nyani zaidi, na sasa the king Lowassa, sasa ndio tunazipata jinsi mkuu alivyoenda kulia machozi kwa Muuungwana mpaka kumpigia magoti ili amuokoe, na jinsi Muungwana alivyomjibu kuwa Edward eeeh! sasa utanipakazia na mimi ndugu yangu wewe tangulia Dododma ukatoboe tu wananchi wamechoka! Wananchi wote tumejionea jinsi Mama Lowassa, alivyokuwa analia mbele ya TV, Hosea tunasikia tayari naye amepelekea barua ya kujiuzulu toka jana usiku, tunasema huu ni mwanzo tu bado wengi sana wanatakiwa kuondoka.

Lowassa, is done maana hawezi pata urais tena katika Tanzania yetu ambayo ndio hasa iliyokuwa nia yake, umakamu wa CCM amenyimwa na Muungwana, nasikia the next thing wanataka kumtema cc, hana guaranteees kwamba hataenda mhakamani, all it takes ni kuingia rais mpya tu, au hata huyu huyu Muungwana, under political pressure kumfikisha mahakamani, kwa sababu kama kuna lesson learned hapa kwa wabunge ni kwamba all it takes kwa Muungwana kukubali anyhting kinachohusu marafiki zake ni political pressure, Muungwana hana uwezo wa kuzi-handle, kwa hiyo sisi wananchi tunafunga mikanda tu maana huu mwendo ni wa mdundo, Lowassa hawezi kushindana na serikali hana huo ubavu maana yalimshinda Mrema, tayari tumeanza kuwaomba wabunge waaanze kulilia sheria ili wakuu watinge Ukonga, it is coming!

Mungu Ambariki Mwakyembe!
 

Jamani wana forum kumgusa Anna Kilango Malecela na John Malecela hapa lazima uwe na data sana kwa kuwa Es hapa anaweza kuua mtu .Mkuu Es jamaa wanataka kupiga hadi Ikulu ?
 
Mkuu the ishu ni taifa hapa, sio Es taifa liko njia panda tunasonga mbele muda wa personalities za watu na viongozi hatuna tena, maneno ya wachumba wa viongozi yapelekwe kwenye nywepesi nywepesi na udaku sio hapa, Lowassaa, Karamagi, Msabaha, Hosea, nje huu ni mwanzo tu, bado tunasonga mbele,

mwenye shida na mimi ES na wale wenye obssession na mimi nitafute kwenye PM nipe namba yako au nitakupa yangu tuongeee, kama una matusi ya kunipa lete huko, I love it, hoja hujibiwa kwa hoja, sio viroja hapa simjui mtu na hanijui mtu, you can say anything you want nafikiri by now unajua kuwa ni waste of time, the goal hapa ni taifa tu kumkoma nyani mpaka kieleweke!
 
..mkuu Field Marshal,im not nzokahilu (just for the record),najua ulitaka kujua kwanza kama yeye sio koba (seems theres a very good/bad reason for that) anyway thats not important,thread imebadilika naona imekuwa credibility ya mama in line na sio tena yaliyosemwa bungeni,she is popular/public figure sasa kwa hiyo rockets zote zitakazorushwa juu yake ni haki(good,bad,fact,lies etc) all goes maana sio kila mtu anampenda,unategemea nini kwa watu wa upande wa Lowasa/mafisadi au walikataliwa kujengewa shule kijijini kwao same mashariki(LOL) kama wako humu? personally simjui sana huyu mama na nimeanza kumsikia juzi juzi tu alivyoanza kuongea kuhusu mafisadi bungeni na baadaye nilisikia ni mke wa former-PM,its not personal attack kusema anything negative against huyu mama na ujue kombora zitaendelea kurushwa kama zilizorushwa na baadhi ya members humu,angalia same thing mkuu umerusha rockets kuhusu baruani,jibu kwa fact kama ulivojaribu bila emotions kwenye kujibu mambo kama haya la sivyo watu ndio watapigilia hapo hapo hata kama wanachosema wanajua ni uwongo....anyway its a very interesting discussion thread na wala sikujua kama naweza kujibu hii thread!
 
FMES:

Mh. Mbunge wa Monduli (his only title now) ameshatemwa CC, kumbuka walibadilisha kanuni ikawa PM anaingia moja kwa moja through cheo chake, so yeye alikuwa CC kwa kutumia kanuni mpya na sasa kwasababu yeye sio PM tena basi 'automatically' PM mpya naye anakuwa kwenye CC na sio yeye EL tena.....hii inaweza kabisa kuwa ilifanywa makusudi....wakijua wanamchimbia shimo lake na atadumbukia soon......my few cents!
 
Hivi mnajua Lowassa akidumbukia wengi watadumbukia?? Hiyo domino effect mko tayari au mnaongea tu?? I cant see it happening. FMES, na nyeti zote ulizonazo, unajua kabisa hiyo haitatokea.
 
Nyoka,

Who cares if many will sink? we need a complete new day in Tanzania! So if he Lowassa has people that he will sink with as revenge, that is good for mgosi, matonya and mnyantuzu!

Why fear the outcome of crap falling apart? Tumekuwa tukipiga kelele kuhusu uzembe, ufisadi, uhujumu, ugoigoi, ukosefu wa ufanisi, umakini na maadili, sasa mwovu mmoja kapatikana, tuanze kuhofia matokeo ya yeye kutaja wenzake?

Nitarudia niliyosema
 

Kushoka, mimi mnyantuzu pia hahaa. On a serious note. Niko nawe. Ila ngoja tusikie baraza, halafu nitarudi hii thread baada ya miezi 6 au 9, tuone wapi tumefika.
 
Field Marshall ES, kinyau,kakindomaster,

serikali iliahidi kutoa fedha za ujenzi wa shule ktk vijiji vya jitengeni, na uzambara. mama kilango kuona hivyo akatoa amri kwamba ijengwe shule moja tu uzambara ambako ndipo alipozaliwa.

kauli ya mama kilango kwa wapiga kura wa jitengeni kihurio:

"mimi anna kilango nasema hakuna shule itakayojengwa hapa Jitengeni. sitaki kusikia mtu anazungumzia suala hili tena. anayetaka kuliendeleza akazungumze na mkewe chumbani."

kwasababu nyinyi mnajidai mnamfahamu huyu mama wazee na wapiga kura wa jitengeni muulize kwanini anakwamisha ujenzi wa shule jitengeni? hizo fedha ni za serikali siyo zake. yeye kinamuuma nini?

mama kilango ametoa kauli ya matusi kwa wananchi wake. huwezi kutukana wapiga kura wako kiasi hicho. wakajadiliane na wake zao chumbani??!!!

wananchi wa jitengeni wakaamua kujenga shule ya kwa nguvu na fedha za kuchangishana. aibu kubwa kwa mama anna kilango mpaka leo anasubiri fedha kujenga shule kijijini kwao uzambara.

nawashangaa mnaosema mama kilango amepeleka kontena la vitabu basi ana haki ya kutukana wapiga kura na wazee wa jitengeni.

mwinyi alitembelea same-mashariki na wananchi wakamshangaa aliposema wanalima kisasa kwa kumwagilia mashamba yao. maji ya mashambani yanatokana na mifereji iliyojengwa kabla hata mtu mweupe hajakanyaga ardhi ya wapare. nyerere pia alitembelea jimbo la same na akatamka, "wapare ni wachina wa tanzania."

ziara za maraisi same siyo jambo la ajabu. ziara ya raisi siyo sifa ya kupewa ubunge same-mashariki. msifikirie wananchi ni wapumbavu.

mnaosema mtakwenda kumpigia kampeni mama kilango kwa wananchi aliowatukana hamuwajui wananchi wa same. kuwasaidia mkamuulize cleopa msuya kwanini hakuwahi kugombea ubunge wakati wa jimbo la pare. ni kwasababu wananchi wa same walisema NO.

mkimkosa cleopa msuya mtafuteni ndhira 'daniel yona'. ndhira aliambiwa miaka 3 kabla asigombee hakusikia matokeo yake akashindwa kura ya maoni na kina mama wawili.

mama kilango amewatukana wananchi wa jitengeni. amewanyima elimu vijana wa jitengeni. wazee wameamua hafai na sasa wanatafuta mbunge mwingine. tayari kuna mabalozi wawili na katibu mkuu mstaafu wameombwa wafikirie kugombea.
 

bangusule.....................

.....im sorry the statements quoted DO NOT MAKE SENSE AT ALL!!!.......na sidhani kama hayo maneno aliyazungumza huyu Mama unless akama alikuwa amelewa dengerua au kichaa.......mtu yeyote wa kawaida hawezi kusema hayo wakati serikali ilishasema itajenga sehemu zote mbili!!!!!!..................kama serikali iliahidi kujenga shule mbili moja uzambara na moja jitengeni..........tatizo liko wapi................kama imeanza kujengwa shule ya uzambara kaulize Wizara ya Elimu na utaratibu wao kwa nini wameanzia hukooo????.......................hata kama Anne Kilango ame-influence ianze ya uzambara.........tatizo liko wapi.....pengine ni perception yako tu .......jitengeni si kutajengwa nako!!!!!..............SHULE ZITAJENGWA......PERIOD!...............kuna hoja nyingine hapo mkuu
 


hakuna kibaya kama chuki na uhasidi.

watu wanasema hasidi hana sababu, na mimi nnakubaliana nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…