Mkuu warumi kusema kwel sipendezwi ukitumia hilo neno kwenye red!Mwenzangu aishukur ofa ya fast jet, wambea eti wanakwambia ndomo ana hela kisa kawabeba mama ubaya na shoga ake cheusi dawa aunty ezekiel, nikasema kwa hela ipi awalipie? Wakat mambo ya ofa, angewabeba sasa na uko ulaya, maana yeye mwenyew naul kalipiwa
Ila ndomo safar zake zote hamuachi mchawi rommy jones , yaan madame kafanywa beki tatu wa kulinda nyumba na shoga ake cheusi dawa
Mkuu warumi kusema kwel sipendezwi ukitumia hilo neno kwenye red!
LakinI namba kuuliza hii hiyo Rommy hawana Undugu na
Diamond? Maana naona Kama wanafanana kabisa.
Ok! Na anaonekana kujua kumdj Diamond ndio maana anakwenda nae kila sehemu!ni ndugu rutta
Haters gonna hate, bongo shida...
Hahahaa domo arudishe nanihii zake nyumbani. Aendelee kushine katika yale magazeti yake
rommy wametoka mbali na domo.... ko jamaa hizi fursa anazitumia sawa sawa
binamu una maneno eti cheusi dawa..cheusi dawa ndoa IPO kweli???
rommy wametoka mbali na domo.... ko jamaa hizi fursa anazitumia sawa sawa
binamu una maneno eti cheusi dawa..cheusi dawa ndoa IPO kweli???
ni ndugu rutta
Hivi wema alikwenda pia?
Ndomo sijui anarud lini jaman tukampokee shujaa wetu airport
Hivi wema alikwenda pia?
hii ni habari mbaya na ya kusikitisha kwa sisi wajasiriamali wazee wa fursa kwanza tender yangu ya kuprint tshirt imeota mbawa, halafu imagine tungeandaa maconcert nchi nzima kuitemveza tuzo kwa mafans hivi ningekosa hata Toyota passo jamani?