Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap, siyo kila mtu anapiga kura, ni kushindwa kuelewa kwa watuKumbe wana BET voting ACADEMY ? Aisee wale waliokuwa wanabishana mtandaoni aibu
Sure nilisikia kuingia huko unapigwa interview sio ya kitotoYap, siyo kila mtu anapiga kura, ni kushindwa kuelewa kwa watu
Ipo toka zamani mkuuKumbe wana BET voting ACADEMY ? Aisee wale waliokuwa wanabishana mtandaoni aibu
Mkuu Elmu yetu ipo chini sana ya kiwango . Hayo mambo ya ubishi wa mitandao ni sifa ya Elimu yetu.Kumbe wana BET voting ACADEMY ? Aisee wale waliokuwa wanabishana mtandaoni aibu
Mi nimeijua baada ya huu ubishani wa juzi kati hapaIpo toka zamani mkuu
Seems legit...[emoji848][emoji848]Mkuu Elmu yetu ipo chini sana ya kiwango . Hayo mambo ya ubishi wa mitandao ni sifa ya Elimu yetu.
Hio ndio tuzo?Mazuzu watanuna
Ahsante kwa uthibitisho, make fun page ni nyingi....