BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

Ona
20210607_162634.jpg
 
Nadhani wamepost nominees wote, sio simba peke yake, hata burna boy


Hamjaelewa!! Akina Maria Sarungi na Mazezeta wenzake kwa siku kadhaa sasa wanakesha Twitter kupiga kampeni ya kutaka Diamond aondolewe kwenye nomination za BET!! Wamehamasishana hadi kusaini petition ili mradi tu aondolewe! Kwahiyo anachojaribu kusema mleta mada ni kwamba, pamoja petition yao ya kutaka Diamond aenguliwe, lakini bado hajaenguliwa, na wala hataenguliwa!
 
Hakuna aibu yoyote! Mambo iko hapa

The BET Awards is back! Ahead of the show, BET needs the help of our most dedicated viewers. Yes, we mean you! We are seeking BET's biggest fans from all over to join the BET Awards 2016 Voting Academy to help determine this year's award winners. In order to be considered a part of this respected group of phenomenal industry experts, fill out the application below and then complete a "knowledge test" covering a variety of entertainment-related questions. If you're a pop culture genius, then you'll have no problem breezing through this quiz. The most knowledgeable and worthy candidates will be handpicked to join the Academy panel. Don't forget, only fans with the best and most correct answers will be chosen. This is your chance to help make your mark on the night. Good luck!​

Kumbe wana BET voting ACADEMY ? Aisee wale waliokuwa wanabishana mtandaoni aibu
 
Hujaelewa!! Akina Maria Sarungi na baadhi ya Mazezeta ya CHADEMA kwa siku kadhaa sasa wanakesha Twitter kupiga kampeni ya kutaka Diamond aondolewe kwenye nomination za BET!! Wamehamasishana hadi kusaini petition ili mradi tu aondolewe! Kwahiyo anachojaribu kusema mleta mada ni kwamba, pamoja petition yao ya kutaka Diamond aenguliwe, lakini bado hajaenguliwa, na wala hataenguliwa!
Ni vizuri kuheshimu maoni na hisia za watu hata kama zinapingana na za kwako, kwa kuwa wewe upo upande wa diamond, haimaanishi kwamba kila mtu atakua upande huo, kama diamond ni mkamilifu na ana qualifications zote za kushinda hiyo award, mimi naamini atashinda hata kama wanaharakati wanampinga, kuweni tu watulivu hakuna haja ya kuwaita wenzenu mazezeta, ndio maana halisi ya demokrasia, kila mmoja ana haki ya kuchagua upande anaoutaka, diamond alikua upande wa ccm wakati wa kampeni, kuna mpinzania alimzuia? Jibu ni hakuna kwa sababu tunaamini kila mtu ana haki ya kuchagua upande anaoupenda

Wafuasi wa diamond wamepanic sijajua kwa nini ila mimi nadhani ingekua vizuri kama mngeonyesha confidence kwa msanii wenu, msitetereshwe na yanayoendelea mtandaoni maana BET wenyewe wana vigezo vyao ambavyo wanavizingatia, kama amekidhi vigezo basi kombe la kwake
 
Ni vizuri kuheshimu maoni na hisia za watu hata kama zinapingana na za kwako, kwa kuwa wewe upo upande wa diamond, haimaanishi kwamba kila mtu atakua upande huo, kama diamond ni mkamilifu na ana qualifications zote za kushinda hiyo award, mimi naamini atashinda hata kama wanaharakati wanampinga, kuweni tu watulivu hakuna haja ya kuwaita wenzenu mazezeta, ndio maana halisi ya demokrasia, kila mmoja ana haki ya kuchagua upande anaoutaka, diamond alikua upande wa ccm wakati wa kampeni, kuna mpinzania alimzuia? Jibu ni hakuna kwa sababu tunaamini kila mtu ana haki ya kuchagua upande anaoupenda

Wafuasi wa diamond wamepanic sijajua kwa nini ila mimi nadhani ingekua vizuri kama mngeonyesha confidence kwa msanii wenu, msitetereshwe na yanayoendelea mtandaoni maana BET wenyewe wana vigezo vyao ambavyo wanavizingatia, kama amekidhi vigezo basi kombe la kwake
Angalia ulichoandika kisha jitifakari!!! Sasa kama ni suala la maoni binafsi how come tena wanakesha kupiga kampeni badala ya kuwaacha watu wafanye maamuzi vile wanavyoona wao inafaa?! Na kwa taarifa yako, mimi sio mfuasi wa Diamond lakini ni uzezeta kuingiza siasa kwenye burudani!!

In short, hao unaojaribu kuwatetea, wameumbuka!! Kushinda ama kutoshinda kwa Diamond katu hakutatokana na kampeni za akina Maria Sarungi bali kutokana na vigezo vya BET wenyewe ingawaje endapo hatashinda, watataka kuaminisha watu kwamba ameshindwa kutokana na kampeni zao!!!
 
Hivi umeangalia ulichoandika?! Sasa kama ni suala la maoni binafsi how come tena wanakesha kupiga kampeni badala ya kuwaacha watu wafanye maamuzi vile wanavyoona wao inafaa?! Na kwa taarifa yako, mimi sio mfuasi wa Diamond lakini ni uzezeta kuingiza siasa kwenye burudani!!
That means Diamond ni zezeta namba moja maana aliingiza burudani kwenye siasa, waache wazungumze wanayo haki ya kuandika whatever they want, relax and enjoy the show, this is a fair play
 
Back
Top Bottom