BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

Acha ujinga wewe! Hilo la domo kuguswa na maovu dhidi ya Wanigeria hulioni lakini wakati huo huo unakunaliana ba haki ya domo ila haki ya wanaotaka kupiga kura kwa mwanamuziki ambaye si MTANZANIA unaipinga!!! Tuondolee UNAFIKI wako hapa!!! Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana Nchini.
Unafiki unao wewe.labda nikukumbushe jibu nililokupa mwanzo, Hakuna anaekatazwa kumpigia kura msanii yoyote na hiyo sio hoja iliyoleta huu mjadala hoja ni sababu za wewe na wanaharati kutaka atolewe kwenye hizo tuzo. Sababu zenu ndipo unafiki wenu ulipo na hilo nimekueleza mwanzo unaweza kwenda kurudia kusoma.
 
Unafiki unao wewe.labda nikukumbushe jibu nililokupa mwanzo, Hakuna anaekatazwa kumpigia kura msanii yoyote na hiyo sio hoja iliyoleta huu mjadala hoja ni sababu za wewe na wanaharati kutaka atolewe kwenye hizo tuzo. Sababu zenu ndipo unafiki wenu ulipo na hilo nimekueleza mwanzo unaweza kwenda kurudia kusoma.

Hakika wanaotaka huyo mwanamziki atolewe kwenye Tuzo ni Wanafiki kwa sababu ni hao hao hudai nchi haiendeshwi kwa Katiba. Unafiki wao ni kuvunja Katiba kwa makusudi, nanukuu

Katiba ya JMT (1977) Ibara:
26.-(1) Kila mtu ana wajibu wa kufuata na kutii Katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano.

29 -(5) Ili watu wote waweze kufaidi haki na uhuru vilivyotajwa na Katiba hii kila mtu ana wajibu wa kutenda na kuendesha shughuli zake kwa namna ambayo haitaingilia haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma.
 
Acha ujinga wewe! Hilo la domo kuguswa na maovu dhidi ya Wanigeria hulioni lakini wakati huo huo unakunaliana ba haki ya domo ila haki ya wanaotaka kupiga kura kwa mwanamuziki ambaye si MTANZANIA unaipinga!!! Tuondolee UNAFIKI wako hapa!!! Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana Nchini.
Mkuu mbona kama unalia?

Pole sana🤣🤣
 
Wakati viumbe wa Twitter wakianzisha kampeni ya kutaka BET wamuengue Diamond kwenye tuzo za mwaka huu kwasababu za kisiasa na wivu binafsi.

BET wenyewe hawana hata muda huo

View attachment 1811531
Tatizo kuna watu wanapiga kelele wakati kila kukicha wanasikiliza nyimbo Simba, basi kama sio wao, ni watu wao wa karibu sana, hizo ni chuki binafsi.
 
[emoji16] Mi shabiki sana wa diamond, ila anachokipata sahivi kutoka kwa wanaharakati anadeserve....
Kinachokusumbua wewe ni uchadema tu basi!

Hata wewe mwenyewe nadhani unajiona
 
Tuanzishe kampeni kubwa ya kususia Hadi matamasha yake mikoani.
 
1624858871176.png
 
Back
Top Bottom