njoo dukani kwangu uchukue simu nyingineHabari ya mchana!
Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!π
Kama sio Iphone n samsung S seriesHabari ya mchana!
Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!π
Mwenzako anaomba msaada wewe umeshaanza kuuliza pichaπππAchana na simu...ktk picha ni wewe hapo?
Hii ndo manaa ya 50/50 Sasa πππHabari ya mchana!
Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!π
uchumi wa kununua betri nao ni kwa mbaali πUchimi wa kununua cm mpya n ngumu. Bora betri kwa mbaliππ
Yako aina gan mkuu?Ndo faida ya kuijazia chaji pale inapopungua kufikia 50%. Watu wengi wana tabia ya kuijazia sim ikifika aslimia hizo. Alaf nakupa njia nyingine ukitaka utunze betri ya sim yako hakikisha ukiichaji mwisho 85 mpaka 95% tu isigike 100% na jitahidi usiiliaze chaji unles iwe na uwezo wa kusetiwa kupokea chaji mwisho asilimia ngapi kama hii yangu
Amna simu hapo.Infinix hot6