Betri inaisha kama radi simu ikifisha 50% kushuka

Betri inaisha kama radi simu ikifisha 50% kushuka

judy0

Member
Joined
Mar 28, 2021
Posts
43
Reaction score
163
Habari ya mchana!

Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!🙄
 
Habari ya mchana!

Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!🙄
njoo dukani kwangu uchukue simu nyingine
 
Habari ya mchana!

Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!🙄
Kama sio Iphone n samsung S series
 
Ndo faida ya kuijazia chaji pale inapopungua kufikia 50%. Watu wengi wana tabia ya kuijazia sim ikifika aslimia hizo. Alaf nakupa njia nyingine ukitaka utunze betri ya sim yako hakikisha ukiichaji mwisho 85 mpaka 95% tu isigike 100% na jitahidi usiiliaze chaji unles iwe na uwezo wa kusetiwa kupokea chaji mwisho asilimia ngapi kama hii yangu
 
Habari ya mchana!

Nimeshavurugwa na hii simu yangu. Jamani betri linaisha kama mwanga spidi yake! Yani nikiichaji 100%, nikianza kulitumia, pindi likifikisha 50% heeee spidi yake inaongezeka kama kadongo! Yan ukifumba na kufumbua unakuta lina zero na simu imezima. Jamani. Shida ni simu au shida n betri! Simu ata mwaka haijamaliza!🙄
Hii ndo manaa ya 50/50 Sasa 😂😂😂
 
Ndo faida ya kuijazia chaji pale inapopungua kufikia 50%. Watu wengi wana tabia ya kuijazia sim ikifika aslimia hizo. Alaf nakupa njia nyingine ukitaka utunze betri ya sim yako hakikisha ukiichaji mwisho 85 mpaka 95% tu isigike 100% na jitahidi usiiliaze chaji unles iwe na uwezo wa kusetiwa kupokea chaji mwisho asilimia ngapi kama hii yangu
Yako aina gan mkuu?
 
Back
Top Bottom