Betting firm SportPesa opts out

Betting firm SportPesa opts out

Huwezi jua hizi fake id hizi aisee huwenda tunajuana

Labda lakini sidhani hawezi kuwa na bifu lolote ni ubinadam na udhaifu wakila mmoja wetu katika maisha

Kupenda kunamambo. watu wanalipa nauli za ndege mama nk

Ngoja tuyaache ....tuishie hapahapa
 
Labda lakini sidhani hawezi kuwa na bifu lolote ni ubinadam na udhaifu wakila mmoja wetu katika maisha

Kupenda kunamambo. watu wanalipa nauli za ndege mama nk

Ngoja tuyaache ....tuishie hapahapa
Ni kweli tuyaache
 
So KPL this time itakosa sponsor kama kwa Tanzania Football League last season? Maskini huweza fanana in some ways.
 
So KPL this time itakosa sponsor kama kwa Tanzania Football League last season? Maskini huweza fanana in some ways.
Tanzania haijawahi kukosa sponsor kwa miaka mingi sana. Kilicho kosekana last season ni tittle sponsor ambae walishindwana dakika za mwisho, ila Azam alitoa milioni 100 kwa kila timu kama sehemu yake ya kununu tv rights na timu kama Simba, Azam, Yanga, n.k zina udhamini wao. Bado kulikua na wadhamini wadogo wengine kama KBC e.t.c. Kenya ukitoa sport pesa hamna kitu ni empty. Gate collections za KPL ni zero ndiyo maana Gor Mahia juzi walitaka kushindwa kwenda Algeria kwenye mechi ya CAF Champions league.
 
Back
Top Bottom