Wallet yangu imetuna nikikaa nakaa tako moja mikeka imejaa.Nina mwaka wa 2 mwanangu anasoma Tusiime kwa Hera ya muhindi kubet ni maisha kubet ni ajira.Hera ninayolipwa kazini haifikii Hera ninayomla MuhindiUshauri kwenu mnaobet, betting ni kama addiction vema mtenge muda wa kubet na muda wa kufanya mambo ya maana......
Wanandoa kuna siku mtatmba mikeka ohooooo
Nashukuru sijui kubetNi ulevi mbaya sana.
kiogwe waga nakuelewa sana muhuni kwa post yako alaf nitaomba ushauri katika kilimoWallet yangu imetuna nikikaa nakaa tako moja mikeka imejaa.Nina mwaka wa 2 mwanangu anasoma Tusiime kwa Hera ya muhindi kubet ni maisha kubet ni ajira.Hera ninayolipwa kazini haifikii Hera ninayomla Muhindi
tupe mbinu kaka walau tuwe tunapata hela ya kulaWallet yangu imetuna nikikaa nakaa tako moja mikeka imejaa.Nina mwaka wa 2 mwanangu anasoma Tusiime kwa Hera ya muhindi kubet ni maisha kubet ni ajira.Hera ninayolipwa kazini haifikii Hera ninayomla Muhindi
Haha haha karibu mkuu kilimo kinalipa sana tatizo kubwa usimamizi vijana sio waaminifu kabisa vijana wanakuangusha dk zero tu hawanaga huruma hao watu wa vijijini mkuukiogwe waga nakuelewa sana muhuni kwa post yako alaf nitaomba ushauri katika kilimo
Weka Hera nyingi timu chache kakatupe mbinu kaka walau tuwe tunapata hela ya kula
una matusi sana hata aibu huna.......hahahaha sipati picha ulivyofura huko uliko kwa hasira ....poleUshauri kwenu mnaobet, betting ni kama addiction vema mtenge muda wa kubet na muda wa kufanya mambo ya maana......
Wanandoa kuna siku mtatmba mikeka ohooooo
Nikuonee aibu wewe nimekuzaa?una matusi sana hata aibu huna.......hahahaha sipati picha ulivyofura huko uliko kwa hasira ....pole
kwa hiyo unamwaonea aibu uliowazaa tu ambao hujawazaa ni matusi kwa kwenda mbeleNikuonee aibu wewe nimekuzaa?
Unayajua matusi wewekwa hiyo unamwaonea aibu uliowazaa tu ambao hujawazaa ni matusi kwa kwenda mbele
siyajui mkuu naomba unifundisheUnayajua matusi wewe
Kaka nitakuwa nakuomba mikeka kule pmWeka Hera nyingi timu chache kaka
Haaaaahaaaa natamani kukuona wewe mwanamkeUshauri kwenu mnaobet, betting ni kama addiction vema mtenge muda wa kubet na muda wa kufanya mambo ya maana......
Wanandoa kuna siku mtatmba mikeka ohooooo
Kaka unanifufulia uchungu miwa yangu jamani miwa yangu nikiikumbuka naumia ila nakuja natazama huku natazama na huku nakuja kugundua bado uhai ninao nipe mbinu kakaHaha haha karibu mkuu kilimo kinalipa sana tatizo kubwa usimamizi vijana sio waaminifu kabisa vijana wanakuangusha dk zero tu hawanaga huruma hao watu wa vijijini mkuu
hii ferfeect 12 inakuwaje?Ndio,
Waweza kubeti ukapata mtaji wa kufanya issue zingine na zikafanikiwa.
Lakini pia kuna michezo ukila unakula hela nyingi tu. Mfano kampuni ya M-Bet wana mchezo wao unaitwa PERFECT 12, huo watu wanakula mpaka Tshs 120mil kwa dau la buku (1,000) tu
Unadhani unakula kizembe hyo 120? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama unabeti nakushauri achana na perfect 12 na majackport ya sportpesa na mkeka, bet kawaida weka pesa ndefu timu chache option ya magoli usijaribu kutia Win! Yatakukuta ya madrid na barcahii ferfeect 12 inakuwaje?