Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
Naliomba Bunge tunapofikia kujadili ustawi wa jamii michezo ya kubahatisha toeni sauti Taifa linaangamia, hata kama Mwigulu anaona ni sawa tu kwa kuwa pesa inaingia, faida ya pesa inayopatikana na madhara ya michezo hiyo kwa Taifa ni ni sawa na tone.
Mwenyezi Mungu ameharamisha betting kwa nini tunafanya kiburi kufumbia macho suala hili, vijana wamekuwa walaibu Wachina wako kila kijiji wanawaibiwa watu innocent wasiojua, pesa ambayo ingewasaidia kulekebisha lishe ya watoto wetu wanaikomba na serikali ipo tu, tunaomba betting ipigwe marufuku. hakunaga utajiri wa kubahatisha. Mh. Rais na hilo nalo vipi?
Mwenyezi Mungu ameharamisha betting kwa nini tunafanya kiburi kufumbia macho suala hili, vijana wamekuwa walaibu Wachina wako kila kijiji wanawaibiwa watu innocent wasiojua, pesa ambayo ingewasaidia kulekebisha lishe ya watoto wetu wanaikomba na serikali ipo tu, tunaomba betting ipigwe marufuku. hakunaga utajiri wa kubahatisha. Mh. Rais na hilo nalo vipi?