Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allaah atuongoze...Na k
Na kwa wanavyoihamasisha tusipowalea watoto vyema watakuja kuona ni kitu halali na wala si chukizo kwa Mola Mlezi
Asee Ani mimi Huwa nazima kbs Radio nikiona inaongelea au kupromote mabeting hayo .. hasa EFM too much sana vipindi havinogi dakika tano 5 hao kuhamasisha utume 1000 ... Asee haya mambo haya....EFM ndio waliooanza na MSHINDO
Clouds wakaiga na MCHONGO
Wasafi wakaingia kichwa kichwa na WASAFI BET... wakaona haitoshi wakaja na CHOTA MIHELA...
Jinsi wanavyopromot hadi aibu... Yaani ni njaa ndio yazidi...
Hili limeshaletwa hapa tenaRADIOs na TVs ila RADIOs Sana sana. Yaani ukifungua tu unakutana na tangazo la kamari. Kama zamani ilikuwa matangazo ya waganga wa kienyeji.
Sasa hivi Radio zimeamua zichezeshe zenyewe michezo hii. Hii biashara inaonekana kulipa sana.
Sijui tunatengeneza kizazi cha aina gani? Ukifungua hapa ni betting ukifungua chochote ni kamari tu. Watoto wanaokua wanajifunza nini?
Kwa maslahi ya kipato na kodi tunaharibu kizazi kijacho na cha sasa?
Yaani radio kwa siku. Content ni 20% ila BETTIN ni 80% where are we heading to?
Hili niliwahi toa maoni yangu Taifa limekuwa la kamari. Kila kona kila mahali kamari. Watu wanaibiwa tu pesa zao? mkuu..RADIOs na TVs ila RADIOs Sana sana. Yaani ukifungua tu unakutana na tangazo la kamari. Kama zamani ilikuwa matangazo ya waganga wa kienyeji.
Sasa hivi Radio zimeamua zichezeshe zenyewe michezo hii. Hii biashara inaonekana kulipa sana.
Sijui tunatengeneza kizazi cha aina gani? Ukifungua hapa ni betting ukifungua chochote ni kamari tu. Watoto wanaokua wanajifunza nini?
Kwa maslahi ya kipato na kodi tunaharibu kizazi kijacho na cha sasa?
Yaani radio kwa siku. Content ni 20% ila BETTIN ni 80% where are we heading to?
Mie pia nashangaa sana?RADIOs na TVs ila RADIOs Sana sana. Yaani ukifungua tu unakutana na tangazo la kamari. Kama zamani ilikuwa matangazo ya waganga wa kienyeji.
Sasa hivi Radio zimeamua zichezeshe zenyewe michezo hii. Hii biashara inaonekana kulipa sana.
Sijui tunatengeneza kizazi cha aina gani? Ukifungua hapa ni betting ukifungua chochote ni kamari tu. Watoto wanaokua wanajifunza nini?
Kwa maslahi ya kipato na kodi tunaharibu kizazi kijacho na cha sasa?
Yaani radio kwa siku. Content ni 20% ila BETTIN ni 80% where are we heading to?