Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Hatari hatari hatari sanaRADIOs na TVs ila RADIOs Sana sana. Yaani ukifungua tu unakutana na tangazo la kamari. Kama zamani ilikuwa matangazo ya waganga wa kienyeji.
Sasa hivi Radio zimeamua zichezeshe zenyewe michezo hii. Hii biashara inaonekana kulipa sana.
Sijui tunatengeneza kizazi cha aina gani? Ukifungua hapa ni betting ukifungua chochote ni kamari tu. Watoto wanaokua wanajifunza nini?
Kwa maslahi ya kipato na kodi tunaharibu kizazi kijacho na cha sasa?
Yaani radio kwa siku. Content ni 20% ila BETTIN ni 80% where are we heading to?