Betty Mkwasa: Fani ya Uandishi wa Habari ipo ICU kwa sasa na Nasikitika Wahusika tumenyamaza tu, huku ikienda Kufa kabisa

Kitenge ni Mwandishi wa habari kabisa ila anajichetua tu.Alianzia Business times kwenye gazeti la Majira.
 
Muhozi ndiye Rais baada ya Museveni,Wazee wa mambo ya rohoni tumeshaona kitambo,hilo halina shaka!
Tanzania pia 2025 Gwajima ajiandae kuchukua nchi!!
 
unatakiwa uogope sana nchi ambayo matumizi ni makubwa kuliko makusanyo na matumizi hayo yanafanyika kufumba macho ya watu watazamwao wafanye ujinga ili jamii ione ni sawa tu.....
ogopa nchi inayo pambania kusifia raisi wakati wananchi wana changamoto lukuki.... hata hawa wabunge wetu ni ma hopulesi tu
 
Kitenge ni Mwandishi wa habari kabisa ila anajichetua tu.Alianzia Business times kwenye gazeti la Majira.
Mkuu gazeti la Majira la lini? Majira ile ya zamani kabisa ndiyo ilikuwa gazeti lenye angalau viwango japo siyo sana. Baadae lilikuja kugeuka kuwa kama toilet paper tu. Ni kama Mwananchi iliyovurugwa sasa hivi. Kitenge zaidi ya kuzungumza kwa haraka haraka na kuweka mbwembwe kwenye habari za michezo, hakuna la ziada.
 
Muhozi ndiye Rais baada ya Museveni,Wazee wa mambo ya rohoni tumeshaona kitambo,hilo halina shaka!
Tanzania pia 2025 Gwajima ajiandae kuchukua nchi!!
Gwajima huyu mchungaji? Anyways, kiukweli anaweza kuwa rais mzuri kuliko Magufuli au Samia. Kichwani yuko vizuri wala sibishi.
 
Ukiwaskiza wenye hizi media wanasema wao wanaangalia uwezo 'skills' wa mhusika kufanya kazi zao na wala sio ivo vyeti.

mtu anaweza kupanga vyeti kibao lakini asiwe na skills za kujieleza akaeleweka au akavutia wasikilizaji.

pesa ya media imekaliwa na hao wasikilizaji.

wasikilizaji wanapoongezeka na fuba linaongezeka ivoivo.
 
Jibu swali ulilo ulizwa au kaa kimya, ni nani kuuliza histori yako uliyoitoa?
 
Steve Nyerere mbion kupewa kipindi Crown fm
 
daah kuna wkt ilibaki kidogo nijitoe jf kwa akili ya kindezi km izi
Kwa nini hukujitoa? Mimi Gwajima (mchungaji) huwa namwita tapeli. Jamaa ni tapeli sana. Ila pamoja na utapeli wake nina uhakika anaweza kuwa ''mzuri'' kuliko Samia mara kumi. Pengine wewe unachanganya kuwa nimesema tumpe urais. La hasha. Mimi nimefananisha na Samia....au Magufuli.... hawa watu wawili tu.
 
Kitenge ni Mwandishi wa habari kabisa ila anajichetua tu.Alianzia Business times kwenye gazeti la Majira.
Kitenge ni Mwandishi wa Habari ila siyo Mwana Habari. Haya maneno Mawili Kitaaluma na kama Mbobezi tukuka kutoka SAUT Mwanza yana tofauti Kubwa mno japo najua wapo Wavivu wa Kufikiri watasema au watadhani ni sawa / yana fanana.

Tanzania ina Waandishi wa Habari ila Kenya ( Media ) ya Kenya ninayoikubali 100% ina Wana Habari.

Kula Madini haya Mkuu.
 
Thanks for nailing it Chief.
 
Jibu swali ulilo ulizwa au kaa kimya, ni nani kuuliza histori yako uliyoitoa?
Historia yangu hiyo nimeitoa kwa Fools wa mfano wako na Haters Wengineo waijue na nashukuru Sindano imeenda nilikotaka na ndiyo maana imekuuma na umekuja ukiwa na Hasira nayo.

Pole kwa Chuki, Hasira na Wivu ulionao ila ndiyo hivyo tayari Mwenyezi Mungu kanifungulia na atanifungulia zaidi mpaka tuheshimiane hapa JamiiForums.

Kudadadeki.... Na bado.....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…