BEYISM: Dini ya Beyonce yawa gumzo duniani

BEYISM: Dini ya Beyonce yawa gumzo duniani

it's a another business venture in another forms, the few clever people using the ignorant majority as a ladder to reach their economic ambitions
 
Mimi nasema ata original ya hawa kina mtume sijui yesu ni ivi ivi tu sipingi Uwepo wa supernatural Power (GOD) ila swala la dini limejaa sitofahamu ndio maana sifungamani na dini yoyote ile
kweli hata hawa kina Yesu na mtume mwamedi walianza hivi hivi kilichowasaidia generation yao ilikuwa ina amini sana mambo ya natural power kuliko sasa ila inachukua three generation kwa imani kukubaliwa kwenye jamii beyonce akikomaa after three generation imani yake ina peak up
 
kweli hata hawa kina Yesu na mtume mwamedi walianza hivi hivi kilichowasaidia generation yao ilikuwa ina amini sana mambo ya natural power kuliko sasa ila inachukua three generation kwa imani kukubaliwa kwenye jamii beyonce akikomaa after three generation imani yake ina peak up
Usimfananishe Muhammad na hao plz
 
Haya sasa.
Kwa wale wanaotusumbua kwa kusema.
mungu hayupo...!
Mnioneshe mungu...!
Thibitisha kama mungu yupo...!

mungu ndio huyo hapo. Anaonekana wazi kabisa.
Nendeni mkampapase kuthibitisha uwepo wake

Msitusumbue tena kwa ubishi wa Kitoto.

Cc.. Atheist and Unbelievers
akina Al-Watas na Karanga.
Hahaaa huyo mungu akikuboa unamchapa makofi..
 
Je Beyonce anakuwepo kila siku kanisani,,hata mi ningeenda tushachoka kwenda kusali sehemu unafika ni kutishwa mwanzo mwisho
 
Unaona vituko vya hawa akinamama? Biblia inasema " wanawake na wanyamaze katika kanisa" Haikuwa na maana wasije kanisani la hasha ila wasishike nafasi za juu kabisa za maamuzi. Ona sasa nadhani kuna makanisa mengine ambayo yameanzisha na nabii mwanamke
 
MASTAA KIBAO
Inaelezwa kuwa, Dini ya Beyism tayari ina waumini maelfu ambapo inaonesha baadhi ya wafuasi wa Beyism ni watu maarufu kama vile Kanye West, Mariah Carey, Rihanna, Nicki Minaj na wengineo.[/QUOTE]
Mbona Kanye west wanasema nae ana dini yake au anaabudu dini mbili kwa wakati mmoja
 
Mimi nasema ata original ya hawa kina mtume sijui yesu ni ivi ivi tu sipingi Uwepo wa supernatural Power (GOD) ila swala la dini limejaa sitofahamu ndio maana sifungamani na dini yoyote ile
Huko Ulaya anatakiwa kagame akatawale hata miaka 2 makanisa yote hayatakuwepo
 
Back
Top Bottom