BEYISM: Dini ya Beyonce yawa gumzo duniani

Hahahaha... Kwa hiyo kwa kuwa watu wanataka 'mungu' anayeonekana, wakaamua kumchagua beyonce...

Hivi vichwa vyetu... Hahahah
 
Sasa kanisa lote hilo na ni huko marekani ni $ 850,000(1.7 billion) tena linaonekana lipo kati kati ya mji kabisa sasa hilo kanisa lingekua Tanzania na jinsi watu walivyojichokea linaweza izwa hata 5-7 billion
 
Siku wakimuona mungu wao anachezea mjeredi wa jigga afu anatoa vilio vya kila rangi Mara kawekwa dog sijui itakuaje
 
Dah haya mambo ndio miaka 50 au 100 ijayo watu wakiikuta wanashindwa kutambua dini ya kweli ipi hapa maana mpaka sasa zilizopo tu nyingi, yarabi tupe mwangaza waja wako Amin In Sha Allah
 
Kazikwelikweli tutarajie kusikia superstar wa tz nae kaanzisha dini yake
 
Haifiki popote hiyo dini yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…